Carnet Des Chants A Imprimer [PDF]

  • 0 0 0
  • Gefällt Ihnen dieses papier und der download? Sie können Ihre eigene PDF-Datei in wenigen Minuten kostenlos online veröffentlichen! Anmelden
Datei wird geladen, bitte warten...
Zitiervorschau

1

ENTRÉE

4. Vous tous les malades et tous les souffrants. 1-4 : Dieu nous appelle dans sa maison.

NAJA KWAKO BWANA R/ Naja kwako Bwana unipokee ntumishi wako kuijongeya altare yako ee Bwana unipokee Kukutolea sada ka ya misa ee Bwana unipokee katika milango yako Bwana napita niwekee mkono Wako unibariki. 1. Ninakuja

kwako ee Mungu wangu kukutolea shukrani, sala na maombi yangu.

2. Ninakushujudu

ee Mungu wangu nifanye toba ya kweli katika hii nyumba takatifu.

NYUMBANI MWA BWANA WETU R/ Nyumbani mwa Bwana wetu muna furaha, wakristu njooni wotee wote tumwabudu. 1. Enyi mapadri: ingia kwa Bwana, Enyi watawa: ingia kwa Bwana. 2. Enyi wa Baba: ingia kwa Bwana, Enyi wa mama: ingia kwa Bwana. 3. Enyi Vijana: ingia kwa Bwana, Enyi Watoto: ingia kwa Bwana. 4. Enyi Wazee: Ingia kwa Bwana, Enyi wakristu: ingia kwa Bwana. 5. Enyi wakaka: ingia kwa Bwana, Enyi Vijana: Ingia kwa Bwana.

DE TOUTE LA TERRE

NALIFURAHI SANA

R/ Venez dans la Maison de Dieu, Il nous appelle tous : hommes, femmes et enfants. Chantons dansons louons pour notre Seigneur, rendons-lui grâce, honneur pour tous ses bien faits.

R/ Nilifurahi sana walipo niambia twende nyumbani mwa Bwana . (Nalijazwa furaha, furaha ya Bwana furaha kubwa sana) x.

1. De toute la terre aux coins d’horizon 2. (Que) tu sois riche ou pauvre (que) tu sois noir ou blanc. 3. (Que) tu sois en tristesse (que) tu sois dans la joie.

1. Sana miguu, miguu yetu, imesimama kwa milango yako ee yerusalemu 2. Yerusalemu, yerusalemu uliyejengwa ama muji ule wenyi kuungana na wote. 3. Makabila, makabila ya Bwana, yamepanda huko wakilitukuza jina lake.

2

NJOONI BWANA

WOTE

TUMWENDEYE

R/Njooni wote tumwendeye Bwana, tumwendeye hekaluni mwake, na furaha kubwa tukiimba wote, njooni nyumbani mwake. 1. Tuje mbele yake kwa masifu

tumshangiliye kwa nyimbo nzuri. 2. Ingieni wote kwa shangwe kubwa tukimsifu kwa raha kubwa. 3. Jongeeni wote tumuabudu tumwangukie muumba wetu. 4. Njooni wote mbele ya Bwana atumwangie baraka yake. DIEU NOUS ACCUEILLE EN SA MAISON R/ Dieu nous accueille en sa maison, Dieu nous invite en son festin, jour d’alegresse et jour de joie, Alleluia. 1. Oh quelle joie quand on m’a dit approchons-nous de sa maison dans la cite du Dieu vivant, 2. Jerusalem rejouis-toi car le Seigneur est avec toi pour ton bonheur il t’a choisi. 3. Criez de joie pour notre Dieu chantez pour car il est bon car eternel est son amour. 4. Avec Jesus nous etions morts, avec Jesus nous revivons nous avons part clarte. 5. Approchons-nous de ce repas où Dieu conduit tous ses enfants mangeons le pain qui donne vie. 6. Que Jesus christ nous garde tous dans l’unite du meme

corps nous qui mangeons le meme pain. 7. Soyons temoins de son Esprit, que disparaisse toute peur, montrons au monde notre foi. TERRE DES HOMMES R/Terre des hommes Ciel de Dieu Eglise des peuples; Ciel des hommes terre de Dieu, Eglise du Seigneur. 1. Rassemblés

dans le Christ conduits par l’Esprit: nous proclammons la parole. Envoyes par le Pere unis dans l’Esprit: nous construisons le Royaume. 2. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous vivont au coeur du monde. Envoyes par le Pere unis par l’Esprit: nous vivons au coeur du monde. 3. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous respectons tous les peuples. Envoyes par le Peres unis par l’Esprit: solidaires des plus pauvres. 4. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous ressuscitons ensemble. Envoyes par le Pere unis dans l’Eprit nous liberons l’esperence. DUNIA YOTE R/ Njooni wote tuingie mwake Bwana matendo yake ni ya ajabu, Dunia yote imwabuduye

3

bwana karibu naye ni nguvu tele, Tuingie wote na furaha, tumusifu kwa nyimbo za shangwe wema wake, u milele nyumbani mwake. 1. Mwimbieni bwana kwa kuwa

ni mtukufu, uwema wake ni wa milele. Enyi inchi zotekuzeni mungu kweli mutoleeni sifa tukufu. 2. Kageuza bahari kuwa inchi kavu taifa lake likaokoka. Mwimbieni Bwana jina lake tukufu matendo yake ni ya ajabu. 3. Atawala vema juu ya mataifa awakanyaga wenyi kiburi. Amezipa roho zetu uzima bora, na miili yetu nguvu nyingi. 4. Nalimulilia yeye kwa kinywa changu, anasikia kilio changu. Tena nalimsifu kwa ulimi wangu, Dunia yote aliumb LELO ESENGO R/ Lelo Esengo Esengo Nzambe tokoyembela nzambe biso toye lelo esengo aee. 1. 2. 3. 4. 5. 6.

Ba Tata esengo aee… Ba Mama esengo aee… Ba yaya esengo aee… Bilenge esengo aee… Bachorale esengo aee… Bachristu esengo aee…

MUYISHE MWESHI

x2 a, na

R/Muyishe mweshi ah, emwani mwe mugogomirwe aha, nabah’omurhula ayi yeye aha n’emisi y’enyanya aha x2 1. Irhondo

bakaba

babirhi, ayiyeye aha bagwasiny’okw’izino lyani, nani nabagwase ayiyeye aha guhika aha guyurha. 2. Lyorhushuzo kw’izu lyage ayiyeye aha rhuyunvirize emyanzi yage, rhumuhu n’obwonjo, ayiyeye aha lyo ruhashimukuza. 3. Namahanga rhulemire rhweshi, ayiyeye aha mpulyo rhumukuza, rhumukolerhe kwinja han’igulu ayiyeye aha n’oluhembo lwirhu mu mpingu. NITAINGIA NYUMBANI MWAKE BWANA R/Nitanigia nyumbanai mwake Bwana, nitajongea altare yake, nitakaribia uwanja wake bwana nifuraha moyoni mwangu. 1. Makao yako yapendeza sana ee Bwana wa majeshi, na ndio maana ninakuja mbele yako. 2. Nalifurahi sana walipo niambia twende kwale, ni heri shangwe furaha moyoni mwangu. 3. Bwana ni mwanga wangu tena Bwana ni wokovu wangu sioni woga wanapo nishambulia. 4. Neno moja ninaitaji ee Bwana maishani mwangu, kuketi nawe kutazama uso wako.

4

TUINGIE WOTE NA FURAHA R/ Tuingie wote na furaha nyumbani mwake Bwana Mungu tuingie wote na kumsifu Bwana mwokozi wetu. 1. Ee Bwana sisi wano, tunakuja nyumbani mwako. 2. Tunakuja kwako ee Bwana kutafuta neema yako. 3. Ee wakristu njooni wote tumwabudu Mungu wetu. MAKAO YA BWANA 1. Ee Bwana napenda makao ya nyumba yako na mahali pautakatifu wako. R/Ee Bwana na furaha yangu yote ninakuja ninakuja, ninakuja ee bwana kwa kutukuza. 2. Kwani wema wako wajaza maisha yangu, naenda katika uaminifu wako 3. Naosha mikono yangu katika usafi, nitaizungukia altare yake. 4. Ili nitangaze waziwazi sifa yako nakuyaeleza maajabu yako SISI WOTE WATOTO WA MUNGU R/ Sisi wote watoto wa Mungu, twakusanyika kwa kumsifu Mungu Baba wetu. 1. Tumtoleye mungu sadaka ya misa, kwa kumsifu na kumwabudu. 2. Tuungane na mwokozi Yesu kristu kwa kutolea sadaka hii.

3. Tuungane katika mapendo moja na kumpenda Mungu babetu. 4. Sifa kwa Baba Mwana Roho mtakatifu kama mwanzo sasa daima. KARIBUNI WOTE R/Karibuni wote (Karibuni wote) karibuni ndugu karibuni, ingieni na furaha kubwa (nyumbani) nyumbani mwa babetu. 1. Nali furahi sana walipo niambia twende kwa Bwana 2. Sasa miguu yetu yasimama Katika lango la Bwana 3. Tunaomba amani kwa ajili ya rafiki ndugu zetu. MUJENI WANDUGU KUSIKIA 1. Mujeni wandugu kusikiya maneno ya mungu tukisali na kumuimbiya tukimsifuna na furaha mujee (x2) R/ Wababa mujee wababa mujee, muje mukasikie maneno yatoka kwake baba muumbaji baba atuma mkombozi mkombozi yesu askanti kwa mungu baba aa (x2) 2. Mungu baba alituonyesha mapendo ya kweli kamtoa mwana wake yesu kwa malipo ya zambi mujee. 3. Enyi waamini waamini wa Dunia vijana na wazee tumtolee Mungu wetu sifa milele amina mujee.

5

AMANGO NDI IMBELE ZA LARHA R/ Amango ndi imbele za larha nyakasane we, Larha nyakasane ye bucire bwani, nayumv’omwishingo gungwerhe mushana, (bulya ye mwishingo go busole bwani)x2 1. Mwe misole mweshi muyishe muno rhusamire Larha we nyanya aha, rhukuze rweshi obukulu bwage, rhuyimpe rhweshi irenge lyage……. 2. Nyakasane larha ye misi yani, burya ye rhuma ntahuligana aa, umurhima gwani gucish5ngiraye, n’ululimi lwani rusima o kumuderha,…… NALIFURAHI WALIPONIAMBIYA R/ Nalifurahi walipo niambiya twende nyumbani kwa Bwana. 1. Sasa miguu yetu imesimama milangoni mwako yerusalemu. 2. Yerusalemu ulijengwa kama muji mwenye kuungamana wote 3. Ndiko makabila, Bwana

wanakopanda makabila ya

INGIYENI BWANA

NYUMBANI

MWA

R/Ingiyeni nyumbani mwa Bwana mikononi kifuani (wandugu) x2 1. Yesu Kristu aliingiya hekaluni akakuta kundi la wachuuzi wakicuuza 2. Akapata hasira kali sana wandugu akafukuza wachuuzi inje ya kanisa 3. Nasi tufuate mfano wa Yesu kristu, tuwe na ibada nyumbani mwa Mungu wetu 4. Msifiwe Baba na Mwana na Roho pia kama mwanzo na daima na milele amen. NAPIGA HODI KWA BABANGU 1. Napiga hodi kwa babangu, nay eye ananikaribisha; na sitatangatanga tena nipeperushwe sawa mavumbi. R/ Nitajongea altare ya Babangu nitaingia nyumbani mwa babangu, nitajongea altare ya babangu aleluya furaha yangu na heri yangu. 2. Ee Yahwe Mungu wa majeshi univike mavazi ya Cuma, unitenge na wacekaji wanauliza ni nani yawe. 3. Nasikiya sauti nyingi zanizunguka pande zote, zanitia na wasiwasi univike mavazi ya Cuma.

6

1. Bwana Mungu anatungojea tuingiye tumsifu, (tumusifu kwa shangwe na furaha)(x2) MUJE TUINGIYE MWA BABA YETU

NYUMBANI

R/ Muje tuingiye nyumbani mwa baba yetu tukamuimbiye nyimbo za furaha x2 1. Wa Baba wote: tumshangilie bwana Wa Mama ………………….

wote:

2. Wa Kaka ……………………..

wote:

Wa Dada …………………….

wote:

3. Wa Zee ……………………….

wote:

Wa Toto ……………………….

wote:

4. Vijana ………………………… Walimu ………………………. 5. Mapadri

wote: wote: wote:

…………………….. Mafrera ……………………..

wote:

2. Ewe Baba acha kazi yako tuingiye tumusifu ………………………… 3. Ewe Mama na watoto wako tuingiye tumusifu, …………………… 4. Nyinyi ndugu na rafiki zenu, tuingiye tumusifu, ……………………. 5. Sisi wote Mungu atupenda tuingiye tumusifu, …………………….. JAIME LA MAISON

BEAUTE

DE

TA

R/J’aime la beauté de ta maison Seigneur, et le lieu du séjour de ta gloire. 1. Scrute-moi Seigneur, eprouve-moi ; passe au feu mes reins et mon cœur ; j’ai devant les yeux ton amour, et je marche grâce à ta lumière. 2. Guide-moi Seigneur et garde-

moi, dans le droit, l’amour et la paix, je m’appuie sur toi mon rocher car tu es ce Dieu de vérité. 3. Laisse-moi, Seigneur tout

TUINGIYE WOTE FURAHANYUMBANI BWANA

NA MWAKE

R/Tuingiye wote na furaha nyumbani mwake Bwana

près de toi, pour te rendre grâce en mon cœur, debordant d’amour et de joie et je te dire toutes tes merveilles. TUINGIYE YERUSALEMU

7

R/ Tuingiye Yerusalemu, yerusalemu kwa furaha. 1. Wa baba tuingiye Yerusalemu Wa mama ……… Vijana…………….. 2. Mapadri tuingie………. Wa frera tuingie……… Ma bikira…………………. 3. Atuita tuingiye………… Kumsifu ………………….. Kwa shangwe…………… 4. Eklezia……………………… Wa Kristu…………………. Waimbiji tuingiye Yerusalemu 5. Kanisa…………………………… …… Wa zee……………………………….. Watoto…………………………… ….. 6. Tuimbe…………………………… ….. Kwa ngoma…………………………. Na nzenze…………………………… KARIBU WOTE NYUMBANI MWA BABA

R/Karinu wote nyumbani mwa baba, karibuni wote nyumbani mwa baba Mungu. 1. Ingieni inameni, pigeni magoti, tumwabudu Bwana muumba wetu. 2. Mkisikia neno lake, regezeni nyoyo, tubuni makosa na ongokeni. 3. Susu tu(po) taifa lake, naye Mungu wetu ; kundi liongozwalo kwa mkono wake. NOUS MARCHONS VERS TOI 1. Dans la paix et dans l’unité : Seigneurs nous marchons vers toi, unis dans ta charité, nous marchons vers toi. 2. Avec nos joies, nos soucies : Seigneur nous……………….. Nos Esprit et nos ennuies : nous… 3. Sur la route de tes saints : …………. Nourris par le meme pain : ………… 4. Sans fausse honte et sans detour.. Forts de ton immense amour :……… R/ Rassemblés dans ton amour, Seigneur unis par la même foi, tu nous montres le chemin seigneur, qui conduit vers toi.

8

DES CRIS DE JOIE 1. Des cris de joie dans la maison de Dieu. -

Venez (3x) avec joie

-

Venez (3x) avec amour

-

Venez (3x) avec joie

2. Venez (3x) louer Dieu, venez (3x) louer Dieu, chantez (3x) sa bonté Chantez (3x) son amour, chantez (3x) son amour. 3. Des fideles réunis dans ce lieu saint : -

Pour glorifier le seigneur

-

Pour adorer le bon Dieu

-

Pour rendre grâce au seigneur

VENEZ CHANTONS NOTRE DIEU R/ Venez chantons notre Dieu lui le roi des cieux, il est venu pour sauver l’humanité et nous donner la vie, exulte pour ton roi Jérusalem danse de joie. 1. Il est venu pour nous sauver du péché : exulte Jérusalem danse de joie. Oui par sa mort tous nous sommes libérés :…………… 2. Oui tous ensemble rejetons

notre péché : …………………………….

Dans sa bonté tous nous sommes pardonnés : ……………………………. 3. Le roi de gloire nous a donné le salut :……… Sa majesté nous pouvons la contampler :…………………… 4. S’il est venu ce n’est pas pour nous juger : …………………….. Mais seulement pour que nous soyons sauvés : …………………. 5. Si nous croyons par lui nous sommes guéris : ……………………………………… Oui nous croyons que c’est lui le pain de vie : ………………………………. 6. Dieu parmi nous c’est Jésus Emmanuel :………………….. Par son Esprit, il est au milieu de nous : …………………………… MUJE TWENDE WOTE R/ Muje twende wote nyumbani mwa Bwana na furaha tukimuimbia tumshangilie na kumshukuru kwa mema yote anayo tutendea maishani mwetu. 1. Tuingie na furaha tusikilize neno la Mungu nyumbani mwake 2. Tuingie na furaha tumuangukie muumba wetu nyumbani mwake

9 3. Tuingie na furaha tumuimbie

nyimbo nzuri nyumbani mwake 4. Tunaomba msamaha wa zambi zetu ee Mungu baba utuhurumie.

10

GLORIA SIFA KWAKO MUKOMBOZI IMANA N’ISINGIZWE MW’IJURU R/Imana n’isingizwe mw’ijuru Imana n’isingizwe mw’ijuru no munsi abantu ikunda bahorane amahoro 1. Turakurata turagusenga turagushimira ryinshi

turagushima turagusingiza ikuzo ryawe

2. Nyagasani Mana, mwami w’ijuru, Mana Data ushobora byose, nawe nyagasani mwami w’ikinege, Yezu kristu nyagasani Mana Ntama w’Imana , mwana w’imana Data. 3. Wowe ukiza ibyaha bya bantu tubabarire, wowe ukiza ibyaha byabantu akira amasengeshoyacu, wowe wicaye iburyo bw’Imana data tubabarire. 4. Kuko ari wowe gusa utunganye ni wowe mwami wenyine ni wowe wenyine usumba byose Yezu kristu hamwe na Roho mutagatifu n’uko hasingizw’iman Data, (Amen, Amen, Amen, Amen, Amen)x2

MWANA

R/ Sifa kwako Mwana mkombozi, Sifa kwako Mwana wa Mungu, Ee sifa, Ee Sifa mkombozi. Base: Amani duniani kwa watu anao wapenda (x2) Mkombozi. 1. Ulifika mu dunia kweli, kuondowa zambi zetu zote, 2. Ulitwaa mwili kwa Maria, kwa kitendo cha Roho mtakatifu, 3. Ulishuka kwetu mwana wa Mungu, Ukazaliwa humo zizini, 4. Usalama kwako mkombozi, Yesu mwema utuhurumiye, 5. Mwisho wetu Yesu utupokee, ufalmeni mwake Mungu Baba. ALELUYA SIFA R/ Aleluya sifa sifa: oh sifa aaa, amani Dunianiii kwa watu wote. 1. Sifa kwa Baba aa, Mungu muumba aa aleluya. 2. Sida kwa Mwana aa, Yesu mwokozi ee aleluya. 3. Sifa kwa Roho oo, Mutakasaji ii Aleluya 4. Sifa kwa Baba aa, Mungu utatu uu Aleluya.

11

1. Sifa kwa Mungu Baba sii(fa) x2 Aliye umba mbingu na inchi sifaaa Ni muumbaji wa vitu vyote sifaaa IRENGE LYA NYAMUZINDA R/ Irenge lya Nyamuzinda aa, ligandaze hoshi en’igulu nko mu mpingu x2. 1. Rhwama kukuza, rhwama kugashaniza rwhama kuharamya rhwama na kuh’irenge: ahee ahiee aha 2. Yagirwa namahanga weri mwami w’empingu we nyamuzinda ishe ugala byoshi ahee… 3. Yagirwa Yesu kristu mugala wa sho-cusha we wekul’ebyaha orhuber’obwonjo ahee… 4. Yagirwa Mwana Buzi mugala wa nyamuzinda we bwarhale kulyo kwasho orhuyumve nirhu ahe… 5. Bulya wenene, we mwimana, we namahanga wene Yesu Kristu ahee… 6. Haguma naye Muka omw’irenge lya sho ensiku zoshi emyaka n’emyaka ahee..

2. Sifa kwa Mungu mwana sii(fa)x2 Alikombowa dunia nzima sifaaa Ni mukombozi wa watu wote sifaaa

3. Sifa kwa Mungu Roho sii(fa)x2 Ni kiongozi wa Eklezia sifaaa Ni mufariji wa watu wote sifaa

4. Sifa kwa utatuu sii(fa)x2 Baba na Mwana Roho mtakati(fu) sifa aa Ni utatu Mungu moja sifaaa

5. Sifa milele amen sii(fa)x2 Aleluya aman, aleluya amen, sifa milele amina (x2)

SIFA ALELUYA SIFA

IRENGE MPINGU

R/ Sifa aleluyaaa sii(fa) x2

R/ Iregnge mpingu kuli namahanga, (en’igulu), en’igulu omurhula oku bantu azigira.

Sifa kwa Baba, Sifa kwa Mwana sifaaa Sifa kwa Baba sifa kwa Roho sifaaa

1. Rhwama kukuza kugashaniza aha

rhwama

12

Rhwama kuharamya rhwama na kuh’irenge aha

2. Mashi namahanga rhwama komakagasha aha Erhi bukulu bw’irenge lyawe burhumire aha

3. Namahanga oyagirwe werhi mwami w’empingu aha Nyamuzinda oyagirwe ishe ogala byoshi aha

4. Yagirwa Yesu kristu mugala wa sho-cusha aha Yagirwa Mwana buzi mugal wa Nyamuzinda aha

5. We rhukulir’ebyaha orhubere obwonjo aha We rhukulir’ebyaha orhuyumve muhanyi aha We bwarhal’ekulyo kw’isho orhuber’obwonjo aha

LARHA OHABW’IRENGE LARHA R/ Larha habw’irenge empingu n’igulu bikuh’irenge -

Kristu ohabw’irenge Kristu empingu n’igulu kristu bikuh’irenge Muka mwimana ohabw’irenge muka…….

1. Rhwama kukuza larha ahee aha Rhwama kugashaniza ahee aha Rhwama aha

kuharamya

Haguma naye Muka Muka Mutagatifu Omwirenge lya Nyamuzinda Amen .

sho

ahee

Rhwama na kuh’irenge ahee aha Mulemi wa uhabw’irenge

byoshi

2. Yagirwa Yesu Kwistu ahee aha Weri mfula ya Larha ahee aha Werhukulira aha

6. Bulya wenene we mwimana loshi Wenene nyakasane wenyanya Yesu kristu

larha larha

ebyaha

ahee

Orhuyumvirize rhweshi ahee aha Muchunguzi w’abantu….

3. Muka kamole kirhu… We murhuliriza… We misi yirhu larha…

13

We shoko y’obuzine…

Mugala wa nyamuzinda:…. We kula echaha ch’igulu:….

4. Larha Ogandaze… Kristu Oyime hoshi… Muka Omoleke hoshi… Muganze munagir’irenge insiku zoshi x2

IRENGE MU MPINGU R/ Irenge o mu mpingu kuli namahanga n’omurhula o ku bantu bali balonza minja (x2) 1. Rhwama kukuza: ahe ahi yeye aha Rhwama kugashaniza:…… Rhwama kuharamya: ahe ahí yeye aha Rhwama nakuh’irenge:…..

2. Rhwama kom’akagasha:….. Bukulu bwirenge lyawe burhumire:…

Orhufe n’irhu olukogo:…

5. W’ekul’echaha ch’igulu:… O yumve omusengelo gw’irhu:…. We bwarhale o kulyo kwa sho:…. Orhubery’obwonjo:…..

6. Bulya wene we mw’imana:…. Wene wene na kuno:… Wene na mahanga lwoshi:…. Wene Yesu Kristu:….

7. Wena Muka mwimana:…. Omu irenge lya sho:… Wena Muka mwimana:…. Omu irenge lya sho:…

Mashi Namahanga:…. Weri mwami w’empingu:…

3. Yagira nyamuzinda:….. Ishe ogala byoshi:… Yagira Yesu Kristu:…. Mugala wa sho-cusha

4. Yagirwa mwana buzi:…

GLOIRE A DIEU R/ Gloire à Dieu et paix sur la terre aux hommes qu’il aime, Gloire à Dieu merveille pour l’homme alleluia. 1. Nous te lous: nous te louns Nous t’acclamons: nous t’acclamons

14

2. Nous t’adorons: nous t’adorons Nous te chantons: nous te chantons

3. Agneau de Dieu: Angeau de Dieu Tu es la paix: tu es la paix

4. Tu es vivant: tu es vivant Tu es l’amour: tu es l’amour

5. Toi seul es saint: Toi seul es Saint Toi seul es Dieu: Toi seul es Dieu AYAGIRWE AJIRENGE 1. Ayagirwe ajirenge namahanga ishe aha x2 Injo ene n’irhondo no mumiaka gandaze aha x2 Yene mwimana ahe Rhumuh’irenge nyamuzinda wirhu aganze bwenene namahanga naha mwirhu ahee aha.

Yene lulema ahe ndeka ndeko aha Ye nyamubaho byoshi aha

Mulema

ahe

Ogala

Ntahwa-lukogo ahe mwinjinja loshi aha Ishe w’abana mukengwa aha

ahe

Larha

Yene mwimana ahe Rhumuhen’irenge……………… ……

2. Ayagirhe ajirenge mugala kwistu aha x2 Injo ene n’irhondo no mumiaka handaze aha x2 Yene mwimana ahe rhumuh’irenge nyamuzu wirhu aganze bwenene namahanga naha mwirhu ahee aha.

Lungwe na muntu mwami mutudu aha

ahe

Yene muciza warhucungwire aha

ahe

Mushinganyanya buzigire aha Mfula ya Larha kaboko aha

ahe ahe

Yene mwimana rhumuh’irenge …..

ye

ubuye ahe

3. Ayagirhe ajirenge Muka mwimana aha x2 Injo ene n’irhondo n’omumiaka gandaze aha x2 Yene mwimana ahe rhumuh’irenge nyamuzu wirhu aganze bwenene namahanga naha mwirhu ahee ahe.

15

Kamole kirhu mwizimya aha

ahe

omu

Misi y’enyanya buzamba aha

ahe

omu

2. Yesu Kristu miciza n’abantu (rhukusamire) Yesu Kristu wema buzine (rhukuharamye)

ahe

Yesu Kristu mfula ya Larha (rhukuyimbire)

Murhuluriza murhim’omunda aha

Ye Larha muka ahe Mugangu wirhu aha Yene mwimana ahe rhumuh’irenge………………… …. Neci naha mwirhaj’irenge aaa x5

3. We njira yo kuhika emwa larha…. We murhula wema buzine …… We buzine na byoshi…….

4. We muka mwimana kamole wirhu…. IRENGE KULIWE NAMAHANGA R/ Irenge x2 kuliwe Namahanga ahee Irenge x2 kuliwe Yesu Kristu ahee Irenge x2 kuliwe Muka mwimana ayi yeye Irenge x2 kuliwe empingu mwa larha 1. We mulemi w’empingu n’igulu (rhukusamire) We mulemi w’izuba n’omwezi (rhukuharamye) We mulemi w’abantu boshi (rhukuyimbire)

We nshako yobuzine…. We muguma na n’omugala……….

Larha

SIFA KWA MUNGU 1. Sifa kwa Mungu Baba

Muumbaji wa vitu vyote sifa ee kwa Mungu Baba

R/ Sifa ee sifa ee sifa ee ee R/ Ee sifa kwa Mungu juu mbinguni sifa na duniani amani kwa watu wema x2

16

2. Sifa ee kwa Mungu mwana mukombozi wa watu wote sifa ee kwa Mungu mwana 3. Sifa kwa Mungu Mtakatifu Ubarikiwe na utukuzwe sifa ee kwako milele. GLOIRE A DIEU PAIX HOMMES SUR LA TERRE

AUX

R/ Gloire à Dieu paix aux hommes sur la terre (x2) 1. Nous te louons nous te chantons, nous te rendons grâce. 2. Seigneur Jésus, Agneau de Dieu, Sauveur du monde. 3. Esprit Saint vivificateur de l’Eglise de Dieu. 1-3 : Dieu de l’Univers

SIFA KWA MUNGU SIFA SIFA R/ Sifa kwa Mungu sifa sifa kwa Mungu juu mbinguni amani duniani kwa watu anaowapenda. 1. Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu, twkutukuza tunakushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu. 2. Bwana Mungu mfalme wa mbingu, Mungu baba mwenyezi, Bwana Yesu Kristu mwana wa pekee Bwana Mungu mwana kondoo wa Mungu mwana wa Baba. 3. Unaye ondoa zambi za dunia utuhurumie, unayeondoa zambi za dunia upokee ombi Letu, unaye kaa kume kwa Baba utuhurumie.

4. Kwa maana wewe peke yako Mtakatifu, kwa maana wewe peke yako mtakatifu, wew pekee yako bwana, wew peke yako mkuu Yeso Kristu. 5. Pamoja na Roho Mtakatifu, katika utukufu wa Mungu Baba Amen(x3) GLOIRE A DIEU AU PLUS HAUT DES CIEUX R/ Gloire à Dieu au plus haut des cieux, joie du ciel sur la terre, gloire à Dieu au plus haut des cieux, louange à toi Alleluia. 1. Pour tes merveilles, Maitre du monde, nous te louons nous te glorifions, pour ton immense gloire eternelle nous te louons nous te glorifions. R2/ Alleluia nous te louons, alleluia nous t’acclamons, alleluia gloire à toi Seigneur. 2. Sauveur du Monde, ô fils du Père nous te louons nous te benossons. O Fils unique de Dieu le Pere, nous t’adorons nous te glorifions. 3. Toi qui enlèves les peches du monde nous te louons nous te benissons. O toi qui siege à la droite du Pere, nous t’adorons nous te glorifions. 4. O Angeau immole, ô toi qui seul est saint nous te louons nous te benissons. O agneau immoleee, toi seul est tout puissant nous t’adorons, nous te glorifions. 5. Avec le Saint Esprit, le feu qui vivifie, nous te louons

17

nous te benissons. Dans la Gloire de Dieu le Pere, nous t’adorons nous te glorifions. SIFA KWA MUNGU JUU MBINGUNI

2. Bulya we njila yirhu: Ojirenge muhanyi Kandi we misi yirhu:…

R/ Sifa kwa Mungu juu mbinguni na amani duniani kote, kwa watu wenyi mapenzi mema.

We Kristu mwami wirhu:…

1. Tunakusifu, tunakuheshimu twakuabudu Mungu wetu, tunakutukuza tunakushukuru kwa utukufu wako mkuu. 2. Ee Bwana Mungu mfalme wa mbingu ee Mungu baba mwenyezi ee Yesu Kristu mwana wa pekee mwana kondoo wake Mungu. 3. Uondowae zambi za Dunia twaomba utuhurumie, uondowae zambi za Dunia ulipokee ombi letu. 4. Unaye kaa kuumeni kwa Baba ee kristu utuhurumie, kwa maana we pekee yako ni mtakarifu Mungu mkuu. 5. Na pamoja na pamoja na Mungu Roho mtakatifu, tena katika utukufu wa Mungu Baba siku zote. IRENGE KULI WE MUHANYI R/ Irenge kuli we muhanyi x2 Irenge kuliwe mwami wirhu x2. 1. We bulangalire bwirhu: Ojirenge muhanyi\ We bulangashane bwirhu:… We buzigire bwirhu:…. We Krietu mwami wirhu:…

Wena buzine bwirhu:…

3. Wene buzine bwirhu: Ojirenge Muhanyi Wene murhula gwirhu:… Kandi we kuli kwirhu:… We Kristu mwami wirhu… 4. We bucunguke bwirhu; Ojirenge Muhanyi We kristu mwami wirhu:… Aleluya kuli we:… Rhukukuzize rhweshi:… 5. We na muka mwimana: Oji renge muhanyi Nshoko y’ubuzine bwirhu:…. We orhukul’omu mwizimya: …. 6. Eby’enigulu byoshi: bikukuze muhanyi Entondo n’orhubanda: bikukuze muhanyi Enkafu n’ebibuzi: bikuh’irenge muhanyi Orhunyunyi biyimbirenge Aleluya amen.

n’ensimba: byawe ee

SIFA KWA MUNGU SIFA R/Sifa kwa Mungu, sifa kwa Mungu sifa x2 Sifa kwa Mungu juu mbinguni; amani duniani, amani dunia kwa watu anao wapenda.

18

1. Tuna kusifu tunakuheshimu tunakuabudu twakutukuza tunakushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu 2. Bwana Mungu mfalme wa mbingu Mungu Baba mwenyezi. Bwana Yesu kristu mwana wa pekee, Bwana Mungu mwana kondoo wa Mungu Mwana wa baba. 3. Unaye ondoa zambi za dunia utuhurumie unayeondoa zambi zadunia upokee ombi letu, unaye kaa kuume kwa Baba utuhurumie. 4. Kwa mamana wewe peke yako mtakatifu kwa maana wewe peke yako wewe peke yako Bwana, wewe peke yako mkuu Yesu kristu. 5. Pamoja na roho mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba, Amen, amen, amen amen amen. SIFA KWA BABA EE R/ Sifa kwa Baba ee sifa, sifa kwa Mwana ee fa, sifa kwa Roho pia sifa, sifa siku zote. 1. Tuna kusifu Mungu Baba sifa, twakuabudu muumbaji sifa, sifa siku zotee 2. Tunakushukuru Yesu kristu sifa, twakutuza mkombozi sifa sifa siku zotee 3. Yesu ni mwana wa peke sifa, mwana wa Mungu mwana Kondoo sifa, sifa siku zote 4. Uondoae zambi zetu sifa, tunakuomba huruma yako sifa, sifa siku zotee 5. Unayekaa kuume kwa Baba sifa upokee ombi letu baba sifa sifa siku zotee

6. Kwa maana we(we) peke yako Baba sifa, we(we) peke yako mtakatifu sifa, sifa siku zote. 7. Sifa zimwendee Mungu Baba sifa Mungu mwana Roho mfariji sifa.Sifa siku zotee.

MEDITATION NINAINUWA ROHO YANGU R/ Ninainuwa macho yangu kwako Bwana ninakuaminia wewe wala sitaona haya x2 1. Ewe kabila x2 la sioni tazama x2 2. Utupatie nguvu naamani yako Bwana tunaimba x2 Utusikie sisi waana wako Bwana tunaimba x2 MPENI BWANA R/ Mpeni bwana enyi waana wa Mungu, mpeni Bwana utukufu na nguvu x2 1. Mpeni Bwana utukufu wa jina lake: mpeni Bwana utukufu na nguvu 2. Mpeni Bwana mazao ya ndugu zenu: …………………………………… ……….. 3. Kinywa cya ukahidi ukutenge mbali nawe: ………………………………………

19

4. Usipige shindo ukitowa kwa bwana: …………………………………… …………..

4. Amri

za Bwana ni safi zinaangazia macho nuru.

SIKU YA BWANA

5. Ujipatanishe na mwenziwe mbele ya Mungu: ……………………………….

R/ Hii ndio siku aliyo yifanya Bwana tushangilie na tufurahiwe nayo. 1. Waseme hivyo wale kombolewa na Bwana

walio

2. Waseme hivyo wakombolewa mkononi mwa adui 3. Waseme hivyo aliyo wakusanya katika inchi

TUJENGE HEMA TATU R/ tujenge hema tatu bwana x2 moja ya Musa ingene ya Eliya na yako x2 1. Walipo fika mlimani akasema x2 musieleze maneno yote muliyo yaona x2 2. Watu wote walipo muacha Yesu x2 wakamwambiya Bwana ni vema tubakiye hapa e x2 UTUKUZWE BWANA WE R/Utukuzwe Bwana we, mbinguni na duniani usifiwe bwana we ee watu wote wakupende ee bwana mwema . 1. Sheria za Bwana ni kamilifu,

aifuatae husabitishwa roho. 2. Ushuhuda wa Bwana ni wa

kweli, hekima. 3. Amri

humtilia

mjinga

za Bwana ni adili zinafurahisha kweli moyo.

4. Amefufuka Kristu msulubiwa kwa ajili yetu. SEMA NENO LAKO R/ Sema neno lako (ee Bwana Mungu usibaki kimya tena) niangazie (gizani nilimo katika maisha hii) nitakuwa wako (ee Mungu kama upendavyo mwenyewe) leo mpaka milele. 1. Maisha yako yatakufalia nini, ukipoteza uzima kwa Mungu , ayapotezae kwa kunifuata ataishi nami milele kwa Baba. 2. Ukinipenda shika amri zangu na utapata heri kamili, ukinisikia haya juu ya msalaba wangu nami nitakujia haya kwa Mungu Baba. YESU NI MZABIBU R/ Nani kweli ni mzabibu, mimi ni mzabibu mimi ni mzabibu nanyi mu matawi yangu.

20

1. Kaeni ndani mwangu nami ndani yenu kwani mu matawi yangu.

4. Enyi mataifa msifuni Mungu wetu zitangazeni habari za sifa yake.

2. Bila nguvu yangu hatuwezi lolote kwani mu matawi yangu

5. Usifiwe Mungu hakukatalia maombi yangu, wala hakuondowa wema wake kwangu.

3. Bila nguvu yangu hamuwezi kuzaa kwani mu matawi yangu. KAZI ZAKO R/ Kazi zako zinakutukuza Bwana wamini wako wanakusifu. 1. Nitakutukuza

ee Mungu wangu mfalme, nitasifu jina lako daima na milele.

2. Kila siku nataka kukusifu, na

kutukuza jina lako daima na milele

MSHANGILIENI MUNGU R/ Mshangilieni Mungu, mshangilieni Bwana enyi nchi zote mtoleeni Mungu sifa tukufu. 1. Mshangilieni Mungu enyi nchi zote uimbeni utukufu wa jina lake, mtoleeni sifa utukufu. 2. Mwimbieni Mungu matendo yako jinsi yalivyo ya kutisha, Dunia nzima ikuabudu na kukuimbia, iliimbie jina lako. 3. Njoni tazameni matendo ya Mungu, amafanya ya kutisha kati ya mataifa.

MSIKIE SAUTI YAKE zab: 94 R/ Msikie sauti yake, msifanye migumu mioyo yenu. 1. Njooni tumpigieni bwana kelele za furaha, tumshangilie mwamba wa wokovu wetu. 2. Tuje mbele yake kwa masifu, tumshangilie kwa nyimbo na sauti. 3. Njooni, tumwabudu na ku mwangukia, tumpigie magoti bwana alie tuumba. 4. Kwani Bwana ni Mungu mkuu na mfalme juu ya miungu yote.

BENI SOIS-TU SEIGNEUR 144 (145) (ASKIF BANGA)

(Ps

R/ Beni sois-tu à jamais Seigneur Dieu de L’Univers, Seigneur Dieu de l’Univers. 1. Je t’exalte mon Dieu mon Roi,

je benirai sans cesse ton nom , chaque jour je veux te benir sans fin, je louerai ton nom. 2. Le Seigneur est tendresse et pitie, lent à la colere et plein

21

d’amour, la bonte du Seigneur est pour tous, sa tendresse pour toutes les œuvres. 3. Que ton œuvre tout entiere

te rende grace Seigneur, que tes fideles te benissant ! ils diront la gloire de ton reigne, ils parleront de ta puissance. 4. Le Seigneur est toujours vrai quand il parle, toujours fidele quand il agit, il retient tous ceux qui tombent, il redresse tous les accables.

R/ Mutachota maji mutachota kwa furaha kisimani mwa wokovu, kwa furaha kisimani mwa wokovu. 1. Sasa Mungu ni mwokozi, na mtumainia (x2) wala sina hofu tena 2. Kwa kuwa Bwana ni nguvu yangu, na wimbo wangu Bwana amekuwa kweli wokovu wangu.

YESU

shetani

na

Ee nifike kule mbinguni niwe pamoja nawe. 2. Mwili huu ni muzaifu wajaa kiburi na chuki nisaidie ee bwana niushinde milele 3. Unikamate bwana wangu nitembeye ndani ya mwanga nikutumikie ee bwana maisha yangu yote. ZAENI MATUNDA MEMA 1. Zaeni matunda mema

MUTACHOTA MAJI

BWANA WANGU

Ee ili nimshinde mambo yake yote

MUCHUNGA

Zaeni yenye baraka Zaeni ya heri R/ Bwana akiyapokeya yatabarikiwa vema Zaeni matunda mema zaeni ya heri 2. Safisha mwenendo wako Safisha matendo yako Safisha na Bwana Yesu

1. Bwana Yesu muchunga wangu unichunge pembeni yako nifike mbingu muji uke wa shangwe na amani.

R/ Ee Yesu uondowe ndani ya maisha yangu

Zaeni matunda yale

woga

Ee mimi peke sitaweza univike silaha

Safisha yote. 3. Fanyeni kazi kindugu Fanyeni kazi kwa bidii Fanyeni nwa bwana Yesu Fanyeni yote 4. Tolea matunda yako Pamoja na moyo wako Naye Bwana mungu wako

22

Atakubariki

Tukivumilia tunaweza kuwa wote sawa kondoo x2

5. Baraka za Mungu Baba

Mwisho wetu tutafurahiwa pamoja na Bwana Yesu x2

Baraka za Mungu mwana Na za Roho mtakatifu

Hakuna kittu kinaweza kututenga mbali na Yesu.

Ziwe na nyinyi wote. HAKUNA KITU R/Hakuna kitu kinaweza kututenda na mapendo ya Yesu x2 -

Wala Mateso hayawezi kututenga mbali na Mungu

-

Wala tabu: haiwezi kututenga mbali na Mungu

-

Kufukuzwa……………………… ………………

-

Wala njaa……………………………… ………

-

Kuchukiwa……………………… ……………..

-

Wala utupu hauwezi……………………..

-

Wala upanga…………………………… ……

-

Wala hatari haiwezi……………………….

-

Wala upanga hauwezi……………………

-

Umaskini………………………… ……………..

Sababu yako tunaishi masumbuko yetu yote x2

na

BWANA WANGU

NDIYE

MCHUNGAJI

R/ Bwana ndiye mchungaji wangu sikosewi na kitu 1. Anipumzisha kwenyi malisho mabichi, anipeleka kwenyi maji matulivu. 2. Anionza njiani iliyo sawa kwa ajili ya jina lake takatifu. 3. Na nikipita katika bonde la giza bwana sitaogopa kitu uko nami. 4. Gongo lake na bakora yako ee Bwana, ndizo zanituliza moyo, moyo wangu. 5. Watandika meza mbele yangu ee Bwana, machoni ya adui zangu, zangu zote. 6. Umenipaka kichwa mafuta ee Bwana, kikombe changu chafurika, chafurika.

23

NAKUTUKUZA EE BWANA Ps 29 (30) : 2, 4-6 R/ Nakutukuza ee bwana kwa kuwa umeniokowa, nakutukuza ee bwana kwa kuwa umeniokowa. 1. Nakutukuza ee Bwana kwa kuwa umeniokowa wala haukuwafurahisha adui zangu juu yangu. 2. Ee BWana umeondoa roho yangu kuzimuni umeniokowa katika wale wanashuka shimoni. 3. Mwimbieni Bwana enyi waaminifu wake shukurani jina lake takatifu. 4. Kwani hasira yake ni ya kitambo kidogo mapendo yake yadumu maisha yote. NINAINU MACHO YANGU R/ Ninainuwa macho yangu kwako (ee Bwana ) % kwako unaye kaa juu mbinguni % 1. Kama vile macho ya watumishi jwa mkono wa ma Bwana wao ndivyo macho yetu kwa Bwana Mungu wetu wpaka utuhurumiye. 2. Kama vile macho ya mjakazi

kwa mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu kwa Mungu wetu mpaka atuhurumiye 3. Utuhurumiye Bwana Utuhurumumiye kwani tume shiba sana mazarau.

4. Roho yetu imeshibishwa sana mzaa ya wenyi kucheka mazarau ya wenye kiburi.

EE BWANA UTUONYESHE WEMA WAKO R/ EE Bwana x2 utuonyeshe wema wako utuleteye wokovu wako. 1. Nisikie anavyo sema Bwana Mungu, hakika anawaomba watu wake amani. 2. Wokovu wake ni karibu nao wenyi kumheshimu utukufu wake utakaa katika heri yetu. 3. Wema na vitakutana haki vitabusana

waminifu na amani

4. Katika inchi uaminifu utota

na haki mbinguni.

itashuka

toka

EE BWANA KUMBUKA REHEMA R/ Ee Bwana Kumbuka rehema zako na dazili zako x2 1. Ee Bwana unijulishe njia zako, unifundishe mapito yako, uniongoze katika kweli yako na kunifundisha. 2. Maana wewe ndiwe wokovu wangu, rehema zako ni za milele, usikumbuke bwana kosa langu unihurumiye. 3. Bwana kweli ni mwema na mukamilifu atawatunza njia wa zambi, wenyi upole awaongoza vema katika hukumu.

24

BWANA AMETUTENDEA MAMBO MAKUBWA R/ Bwana ametutendea mambo makubwa tumeona heri yetu kwake Bwana x2 1. Bwana alipo warudisha wafungwa wa sioni tulikuwa kama waota ndoto

MWIMBIENI BWANA R/ Mwimbieni Bwana mupya, mwimbieni inchi zote mwimbieni wimbo mupya lisifuni Bwana.

wimbo bwana bwana jina la

1. Elezeni utukufu wake katika mataifa yote 2. Tangazeni maajabu katika mikutano yote 3. Lisifuni jina lake katika mikutano yote

yake Bwana

2. Nahapo walisema mataifa Bwana tutendea makubwa

kati ya (a)me

3. Nahapo kinywa chetu kilijaa na kicheko na ulimi wetu shangilia 4. Bwana ametutendea mambo makubwa sana tumeona kweli furaha tele. MUTU HAISHI KWa MKATE TU R/Mtu Haishi kwa mkate tu x2

4. Mkubwa sana ni Bwana Mungu na mwenyi kusifiwa sana

1. Ila kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu.

5. Mbele yake heshima kubwa ni yeye aliumba vyote.

2. Heri wenyi kusikia neno la Mungu na Kulishika. 3. Neno la Bwana lipo kweli kwetu chakula cha milele.

ONJENI NA ANGALIENI (PS 33) R/ Onjeni na angalieni namna gani Bwana alivyo mwema, heri wenyi kukimbilia kwake. 1. Nitamtukuza

Bwana kila wakati sifa yake kinywani mwangu daima.

2. Roho

yangu ijisifu katika Bwana wanyonge wasikiye na kufurahi.

4. Sikuja kuvunja sheria Musa bali kuyikuza.

ya

NINAKUSHUKURU EE BWANA R/ Nina kushukuru ee bwana maana ulikuwa umenikasirikia umeacha hasira yako ukanifariji. 1. Tazameni sina hofu tena, Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu.

25

2. Ndiye nguvu ya wokovu wangu na mtumaini amekuwa wokovu wangu.

3. Bwana amejulisha wema wake na uaminifu wake, kwa nyumba ya Israeli.

BWANA WANGU

NDIYE

MCHINGAJI

R/ Bwana ndiye mchungaji wangu sikosewi na kitu x2 hata moja. BWANA YESU TUPENDANE

ALISEMA

1. Bwana Yesu alisema tupendane upendo ndiyo amri kubwa kwetu. R/ Amani idumu duniani kwote tuwe na upendo kwa majirani, tuwapende na kuwasaidia wanaohitaji msaada wetu. 2. Hata nikitowa mali yangu yote nikiwa sina upendo si kitu x2 3. Upendo wa Mungu kwa mwanaadamu hutokana na kutii amri zake x2 MIPAKA YOTE YA DUNIA R/ Mipaka yote ya dunia, imeona wokovu, mipaka yote ya dunia, imeona wokovu wa mungu. 1. Bwana amepata ushindi, kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake mtakatifu. 2. Bwana

amejulisha ufufuo wake, mbele ya macho ya mataifa ameinua haki yake.

1. Anipumzisha katika malisho mabichi, anipeleka kwenyi maji matulivu anipatiya nguvu 2. Aniongoza katika njiya sawa kwa ajili ya jina kwa ajili ya jina lake 3. Hata ninapo pita katika bonde la giza sitaogopa mabaya kwani wewe upo nami 4. Fimbo yako na bakora yako bwana vyanituliza moyo vyanituliza moyo 5. Atandika meza mbele yangu Bwana machoni pa adui pa adui Bwana. BABANGU NINAJIACHILIA. R/ Babangu ninajiachilia mikononi mwako, ufanye namii utakavyo (x2) 1. Ninakupigia aksanti kwa vyote utakavyo fanya nami, niko tayari kwa vyote. 2. Nakubali vyote Mungu wangu, sitamani kitu kingine, ila mapenzi yako yafanyike.

26

3. Mapenzi yako yafanyike, yafanyike ndani mwangu na ndani ya viumbe vyote. 4. Naweka roho yangu mikononi mwako, nakutolea ayo Mungu wangu na mapendo yote ya moyo wangu. 5. Kwani nakupenda na kwangu mapendo yanikaza kujipana na kujiweka mikononi mwako bila kipimo. 6. Nikiwa na kitumaini, kitumaini bila mipaka sababu uko babangu.

1. Neno la Bwana ni la Kweli Matendo yake yote ni maaminifu. 2. Anapenda unyofu na haki, Dunia inajaa wema wake Bwana.

PARLE SEIGNEUR R/ Parle, Parle Seigneur ton serviteur ecoute x2 1. Parle mon Dieu au milieu de

ma nuit, je tend l’Oreille et tresaille à ta voix, parle mon Dieu aussitot j’obeis, mon coeur s’attache à ne suivre que toi. SHAMBA LANGU NI KUBWA R/ Shamba langu ni kubwa mno, nimtume nani, nimtume nani ndani ya shamba lile, nimtume nani ndani ya shamba lile. 1. Mimi huyu ee Bwana unitume niwakusanye waliopotea (Ee Bwana), unitume, unitume Bwana, Bwana shambani mwako. 2. Ona ndani ya shamba lile, utakuta watu walio poteya, kusanyeni wote na kuwafundisha neno langu. Nitaenda kutimiza mapenzi yako Bwana, unitumee. HERI TAIFA R/ Heri taifa alilo chagua Bwana kuwa urisi wake.

2. Parle mon Dieu par ta voix tu gueris la mer se calme et l’enfant n’est plus mort, parle mon Dieu que ton soufflé de Vie penetre en moi et me rende plus fort. 3. Parle mon Dieu et domine le

bruit qui fait le monde abreuve de discours, parle mon Dieu reunís tes brebis ressemble-les au seul cri de l’amour. VIENS VERS LE PERE R/ Pardonnez-moi frère et laissez-moi recevoir la pure lumière, car une eau vive murmure en mon coeur, viens vers le père.

27

1. Seigneur Jésus né dans la pauvreté, c’est toi que je veux, au momento où je vais naître à la vie, 2. Seigneur Jésus, des morts…..

ressuscité

3. Seigneur Jésus, livré et mort en croix…. 4. Seigneur Jésus, opprimés,….

frère

des

5. Seigneur Jésus, chemin des

égarés…. 6. Seigneur Jésus, lumière des nations… HATUTAFICHA: (zaburi 77(78) 3-4-34-39 R/Hatutaficha, tutaambia kizazi kijacho, sifa na nguvu ya maajabu aliyo fanya Bwana. 1. Mambo baba zetu walituhadisia mambo tuliyosikiya na kuyajuwa vema. 2. Bwana alipo wauwa, ndipo walimtafuta kumshurikia, wakaongoka tena. 3. Bwana nakumbuka kwamba wao ni mwili, upumuzi wao wapita haurudie.

28

1. Ndimi mchungaji asema Bwana kondoo zangu.

mwema nawajua

R/ Alelua, aleluya x2

aleluya,

2. Kondoo zangu wanifuata asema Bwana wasikia sauti wangu 3. Nimefika wapate uzima wa milele nitatowa uzima wangu. ENYI TAIFA ZOTE 1. Enyi taifa zote kamtukuzeni Bwana, mwimbieni Mungu wimbo mzuri wa aleluya R/ [Aleluya wetu]x2

ACCLAMATI ON

x8

Mungu

2. Enyi viumbe vyake, kamsifuni mwenyezi, mwimbieni Mungu wimbo mzuri wa aleluya

ALELUYA MSIFUNI BWANA MIMI NIMESIKIYA 1. Mimi nimesikiya ee sauti ya bwana ee ndani mwangu R/ [Aleluya x5] x2 2. Mafundisho ya bwana inaleta uzima ee ndani mwangu 3. Amri zake Bwana nitazifuata zote ee Mungu wangu. ALELUYA MCHUNGAJI MWEMA

R/ Aleluya msifuni Bwana enyi watumishi wake x2 AL/Ba/ : Aleluya x5 Watumushi wake 1. Enyi watumishi wa Bwana sifuni jina la Bwana, Jina la Bwana litukuzwe sasa na hata milele. 2. Jina la Bwana litukuuzwe tangu kutoka kwa Juwa, Jina

29

la Bwana lisifiwe kutuwa kwa jua.

mpaka

3. Ni Mkuu juu ya mataifa , utukufu juu ya mbingu, Nani sawa na Mungu wetu akae juu kabisa.

TUNAHUBA YA KUSIKIA 1. Tuna huba ya kusikia neno la enjili yako likapenye nyoyo zetu katika maisha yetu. R/ Aleluya msifuni bwana Asifiwe aleluya 2. Tulifuate na mapendo neno lako takatifu ili tulisikilize katika maisha yetu

ALELUYA MSIFUNI BWANA. R/ Aleluya msifuni Bwana enyi watumishi wake, aleluya msifuni bwana enyi watumishi wake. 1. Enyi watumishi wa Bwana sifuni jina la Bwana, Jina la Bwana litukuzwe, sasa na hata milele. 2. Jina la Bwana Litukuzwe tangu kutoka kwa jua, Jina la Bwana lisifiwe mpaka kutuwa kwa jua. 3. Ni Mkuu juu ya mataifa, utukufu juu ya mbingu, Nani sawa , Mungu wetu akae juu kabisa.

3. Simameni tuheshimu neno lake Mungu wetu kwa uzima na afia katika maisha yetu.

ALLELUIA AMEN R/ Alleluia (x8) Alleluia (x2) 1. Seigneur ta parole est chemin vers le Ciel 2. Seigneur, ta parole est la joie de nos cœurs 3. Seigneur ta parole est lumière en nos yeux R2 Tu as les paroles de la vie éternelle.

ALELUYE MTU AKINIPENDA R/Aleluya(5) amen 1. Aleluya Mtu akinipenda atashika neno langu naye babangu atamupenda , nasi tutakuja kwake asema bwana. 2. Aleluya mimi nipo njia ukweli piya uzima, mtu hawezi

30

kufika kwa baba, ila akipita kwangu asema bwana. 3. Kwa kuwa umeniona mimi eeToma umesadiki, heri wale walio sadiki hata kama wasione asema bwana. 4. Uwe mwaminifu mpaka kufa, ndivyo asemavyo bwana, nami nitakupatiya taji la uzima wa milele asema bwana. NILAKWELI NENO LA BWANA. R/Ni la kweli neno hilo Bwana, neno njema (x2)

la

Neno hilao ndugu lakuita wewe neno la wokovu neno njema (x2) 1. Bwana Yesu yupo sasa mlangoni, anakuja. 2. Aleluluya aleluya aleluya, aleluya. 3. Simameni yusikilize neno

NAMSADIKI MUNGU ROHO SAFI R/Namsadiki Mungu Mungu Mwana, Mungu safi Mungu moja.

Baba Roho

1. Mungu Baba ametuma mwana duniani kwa kutukomboa. 2. Huruma yake tumefanya tukazarau.

niya

milele mubaya

3. Akapata mwili kwa akazaliwa na Maria 4. Akateswa akafa siku ya tatu

Roho

akafufuka

5. Akapanda mbinguni siku ya asensio anakaa kuumeni kwa Baba 6. Naisadiki Elkezia moja takatifu katolika ya mitume 7. Namssadiki roho mtakatifu Mungu anaye leta uzima 8. Ninaungama ubatizo moja kwa maondoleo ya zambi zangu 9. Ninangojea ufufuo wa wafu na uzima wa milele. NAMSADIKI MUNGU BABA

CREDO

1. Namsadiki Mungu Baba muumba wa mbingu na dunia na Yesu kristu mwana wa pekee aliyepata mwili kwa tendo la Roho mtakatifu akazaliwa na Bikira Maria 2. Akasulubiwa akafa akazikwa akashuka kuzimuni siku ya tatu akafufuka akapanda

31

mbinguni anapokaa mkono wa Baba ee mwi atarudi kuamuwa wazima na wafu. 3. Namsadiki Roho mtakatifu Eklezia Katolika shirika la watakatifu maondoleo ya zambi ufufuo wa mwili na uzima wa milele NAMSADIKI MUNGU MKUU R/ Namsadiki Mungu, namsadiki Mungu Mkuu namsadiki Bawana. 1. Namsadiki Mungu Mwenyezi, Muumba wa ulimwengu, navitu vinavyo onekana navisivyo onekana; namsadiki pia mungu mwana mkombozi wa dunia, aliye zaliwa na Maria. Bikira wa neema. 2. Anaye kweli Umungu moja sawa na Baba yake, nikweli mutu na Mungu kweli, Yeye hakuumbwa. Alishuka toka mbinguni kwa ajili yaku, kwa ajili ya sisi watu na kwa wokovu wetu. 3. Akakamata mwili wetu akajifanya mutu, akateswa sana na waaskari wake ponsio Pilato. Akafa vikali Mwasalabani juu ya kalvario, mikono na miguu yake vikitobolewa. 4. Akazikwa vema na Yosefu, kaburini mwake, akafufuka siku ya tatu kamailivyo andikwa. Mwisho akapanda mbinguuni anapokaa kwa baba kule ana tutayarishia, makao yeetu. 5. Namsadiki Roho mtakatifu, Bwana mleta uzima, Bwana

mleta uzima, ndiye kiongozi wa eklezia duniani kote. 6. Eklezia yake naisadiki, takatifu kabisa, ilio toka kwa mitume Eklezia katoliuka. Pa saa ya Mwisho nikafufuke kwa uzima mpya, nangoja ufufuo wa wafu, uzima wa milele. Amen! NAMSADIKI MUNGU BABA 1. Namsadiki Mungu Baba, Namsadiki Mungu Mwana, Namsadiki Mungu Roho Namsadiki. R/ Namsadikii, Namsadikii, Muumba wa vytote. 2. Namsadiki Mungu baba, aliumba vitu vyote namsadiki namsadiki namsadiki. 3. Namsadiki Mungu mwana alikufa msalabani siku tatu kafufuka namsadiki. 4. Namsadiki Roho pia mtakatifu Mungu moja namsadiki namsadiki, namsadiki. 5. Nasadiki Eklezia moja takatifu katolika, namsadiki namsadiki namsadiki. 6. Nangojea ufufuo na uzima wa milele namsadiki namsadiki namsadiki. NINASADIKI MUNGU BABA R/ Ninasadiki Mungu Baba, Ndiye chemchem ya uzima, Nina sadiki kwamba, furaha yote yatoka kwake. 1. Ninasadiki Mungu baba anaviumba vitu vyote, Nina

32

2.

3.

4.

5.

6.

sadaki Mungu mwana, nimkombozi wa Dunia. Ninasadiki kwamba yesu amezaliwa na Maria, ameteswa na amekufa ila yesu emefufuka. Na Yesu amepanda mbinguni kututayarishia na fasi, atarudi kuamua wazima na wafu. Nasadiki Mungu roho ndiye chemchem ya uzima, Anastahili nimuabudu pamoja na Baba na Mwana. Nasadiki Eklezia moja ni takatifu Katolika hiyo eklezia niliyomo imetoka kwa mitume. Naungama ubatizo moja kwa maondoleo ya zambi, nangojea ufufuo na uzima wa milele.

NINASADIKI KWA WANGU WOTE.

MOYO

R/ Ninasadiki Kwa moyo wangu wote Mungu moja ninamsadikia. 1. Namsadikia Mungu Baba Muumba Mbingu na Dunia: Namsadiki Na Bwana Moja Yesu kristu mwana wa pekee wa Mungu: Namsadiki 2. Mungu aliye shuka duniani kwa kutukomboa: Namsadikia Na Bwana moja Yesu kristu mwana wa pekee wa Mungu: Namsadiki 3. Aliye panda kwa Baba anapokaa kuumeni kwake: Namsadiki

Mfalme milele kuamua watu Namsadiki.

atarudi wake:

4. Na Roho mtakatifu Mungu anaye leta uzima: Namsadiki Eklezia moja katolika takatifu ya Mitume: Namsadiki 5. Ninaungama Ubatizo moja kwa kusamehewa: Naungama Ninangojea Ufufuo na Uzima wa milele: Nangojea NAMSADIKI MUNGU MOJA BABA MWENYEZI R/ Namsadiki Mungu moja, Baba mwenyezi Muumba wa mbingu na dunia, nayo yote yanayo onekana na yasiyo onekana. 1. Namsadiki Kristu mwanae wa peke, aliye zaliwa na Bikira Maria. 2. Aliye tushukia toka mbinguni kwa ajili yetu sisi kutukomboa. 3. Akasulubiwa kwa ajili yetu, ilikuwa wakati wa ponsio Pilato. 4. Naye akafufuka siku ya tatu akapanda mbinguni kukaa na Baba. 5. Namsadiki pia Roho mtakatifu, yeye ndiye mwanga maishani mwa watu. 6. Nasadiki pia eklezia moja, katolika takatifu na ya mitume. 7. Naungama kweli ubatizo moja, ufufuo wa mwili uzima wa milele. NAMSADIKI MUNGU MOJA

33

R/ Namsadiki Mungu Moja. Nasadiki utatu mtakatifu. 1. Namsadiki Mungu moja, Baba mwenyezi muumba wa vyote. 2. Namsadiki Yesu Kristu, Mungu Kweli na mkombozi wetu. 3. Aliye kufa na kufufuka, kwa ajili ya wokovu wetu. 4. Namsadiki Roho mtakitifu, Mungu kweli na mleta uzima. 5. Nasadiki eklezia moja, takatifu katolika ya mitume, 6. Naungama ubatizo moja, kwa maondoleo ya zambi 7. Ninangojea ufufuo, pia uzima wa milele amina. MIYE NASADIKI R/ Miye nasadiki Baba, mwanae, Miye nsadiki roho wa mapendo. 1. Aliumba vyote Babae vya mu dunia na vya mbinguni, vyote ni enzi lako Baba ni muumba 2. Alizaliwa na ma(ma) Maria, akateswa zamani zote nasadiki, akateswa zamani zote nasadiki. 3. Kafufuka kapanda mbinguni, anakaa kuume kwa Baba nasadiki. 4. Nasadiki eklezia moja, takatifu na ya mitume nasadiki. 5. Naungama ubatizo moja, kwa maondoleo ya zambi nasadiki. 6. Naungama ufufuo wa wafu, nauzima wa milele nasadiki.

NAMSADIKI NIUMBA.

MUNGU

ALIYE

R/ Namsadikia Mungu aliye niumba, namsadikia Mungu aliye anikomboa, namsadiliaMungu aliye nipa nguvu, utatu mtakitu. Amen! 1. Mungu Baba muumbaji wa mbingu na Dunia: namsadikia 2. Mungu mwana aliyeshuka kwetu, kwa kutukomboa: namsadikia 3. Na wakati wa Pilato akateswa, akasulubiwa: namsadikia 4. Akazikwa na baada ya siku tatu, akafufuka: namsadikia 5. Naye Roho mtakatifu Mungu sawa na Baba na Mwana: namsadikia 6. Na Eklezia katilika takatifu, itokayo kwa mitume: namsadikia 7. Nangojea ufufuo wa mwili na uzima wa milele: namsadikia.

NAAMINI BABA. R/ Naamini Baba, naamini Kristu, naamini naye Roho, mtakatifu namsadiki. 1. Namsadikia Mungu Baba, Yesu mwanae wa pekee, Bwana wetu naamini. 2. Kateswa Kauwawa, siku tatu kafufuka, akapanda kwa Baba naamini 3. Namsadiki Roho Mtakatifu, mwangaza wa kanisa, mwongozi wetu naamini. 4. Naungama ufufuo, wa wafu na uzima, wa milele, amen!

34

MIMI KWELI NAMSADIKI R/ Mimi kweli namsadiki kwa Mungu aliye niumba (yee) muumba wa mbingu na dunia kweli namsadiki. 1. Namsadikia

2.

3.

4.

5.

Mungu Baba namwenyezi muumba wa mbingu na dunia na vyote vilimo Namsadikia Mungu mwana, yesu kristu mwana wa peke wa Mungu yeye alizaliwa na Baba mbele ya nyakati. Akateswa akafa akafufuka kama ilivyo andikwa yeye atarudi kuamua wazima na wafu. Namsadikia pia Roho mtakatifu, Bwana na mleta uzima yeye naisadikia Eklezia moja katolika. Naungama ubatizo moja kwa maondoleo yambi nangojea ufufuo wa wafu na uzima wa milele.

huyo na niwa astahili sifa kubwa.

maajabu

2. Alimtuma Yesu mwanae wa pekee kazaliwa na Maria, akateswa zamani za Pilato, kwa ajili ya zambi zetu, akateswa hata na kufariki siku (ya) tatu kafufuka. 3. Yesu alipanda mbingu kwa Babae anakaa kuume kwake, ninaamini kwamba atarudi kuwatwaa watu wake, hapo ufalme wake wa furaha utadumu bila mwisho. 4. Ninaamini roho mutakatifu ni

mwangaza wa Dunia, ninaamini Eklezia katolika takatifu ya mitume, nina ungama ubatizo moja nangojea ufufuko. JE CROIS EN TOI R/ Je crois en toi seigneur mon Dieu, je crois en ta grandeur, je crois en toi seigneur mon Dieu je crois en ton amour.

NINA AMINI MUNGU MOJA R/ Nina amini Mungu Moja nina ungama kwamba sina mwengine Mungu wangu niwa mapendo ameviumba mbinguni na Dunia. 1. Aliumba vyote vionekanavyo

na visivyo onekana, tangu mwanzo Mungu huyo ni Baba anapenda watu wote Mungu

1. Tu crearas le ciel et la terre: O oui seigneur je crois Tu es le seul unique vrai Dieu:……… 2. Seigneur Jesus le fils du tres

haut:… Ne de Marie tu viens sur la terre:……

35 3. Mort

sur la enseveli:……

croix

tu

fus

Pour nous sauver ressuscites:..

tu

es

4. Monte au ciel tu es pres du

Pere:…... Tu reviendras jugar:……….

pour

nous

5. Esprit d’amour Saint Esprit

de Dieu. Tu communies le Pere et l’Esprit:……. 6. Un seul bapteme pour le salut, O oui seigneur je reconnais La vie eternelle dans ton royaume, O oui seigneur j’attends NASADIKI R/Nasadikia Mungu moja muumba wa mbingu na Dunia.

3. Akafufuka kiisha siku tatu, kama ilivyo andikwa yeyé ni mfalme bwana wetu, mwana wa aliye juu, nasadiki. 4. Akapanda mbingu kwa Mungu baba, anapokaa kuukme kwake, ndipo atarudi kuamuwa wazima na wafu Namsadiki. 5. Namsadiki Roho mtakatifu, mutakasa wa Eklezia, nina sadiki Eklezia moja katolika ya mitume, nasadiki. 6. Na ungama ubatizo moja maondoleo ya zambi, nina sadiki ufufuo na uzima wa milele, Amen. NEMERI IMANA IMWE. R/ Nemeri Imana imwe Dat’ushobora byose. Nemera nyagasani umwe Yesu Kristu na Roho mutagatifu nyagasani utanga ubuzima.

1. Namsadiki Mungu baba mwenyezi, muumba wa mbingu na Dunia, vyote vinavyo onekana, na visivyo onekana, Nasadiki.

1. Nemera

Imana imwe Dat’ushobora byose , waremy’ijuru n’isi n’ibitaboneka, nemera na nyagasani umwe Yezu Kristu umwana w’Imana.

2. Naye Yesu mwana wake wa pekee, aliye zaliwa na Maria akakufa, akazikwa, kwa ajili ya zambi zetu nasadiki.

2. Mbere ya byose Imana yari

isanzwe imubyaye, ni Imana ikomoka ku Mana, ni urumuri rukomoka k’urumuri n’Imana nyakuri ikomoka ku mana nyakuri.

36 3. Yarabyawe

ntiyaremwe asangiye kamere na se, niwe byose bikesha kubaho, icyatumye amanuka mu ijuru ni twebwe abantu no kugirango dukire.

4. Yasamwe

ku

bwa Roho mutagatifu, abyarwa na bikira Mariya nok’aba umuntu, yabambwe ku musaraba aritwe agirira kungoma ya Ponsiyo Pilato

5. Niho yababaye maze arapfa

maze arahambwa nuko ku munsi wa gatatu arazuka nkuko byari byaranditswe, maze azamuka ajya mu ijuru yicara iburyo bw’Imana data 6. Kandi

azagarukana ikuzo, gucira imanza abazima n’abapfuye, ingoma ye izahor’iteka.

7. Nemera na Roho mutagatifu

nyagasani utanga ubugingo, uturuka ku mana data na mwana, arasengwa agasingizwa hamwe na data na mwana, niwe wabwirije abahanuzi ibyo bavuga. 8. Nemera

na kiriziya imwe ntagatifu gatulika, kandi ishingiye ku ntumwa, ndahamya ko batisimu ari imwe ikiza abantú ibyaha.

9. Kandi

ntegereje izuka ry’abapfuye nubugingo bwo mu gihe kizaza amen

37



INTENTIO NS • •



• •





 

Bwana sikiliza sauti ya wanao Bwana bwana bwana bwana E e Bwana utisikie, sikia maombi yetu, ee bwana utusikie ee bwana. Tuna kuomba uyasikie maombi yetu yote tunayo towa ndiwe wa huruma na waupendo uwahurumie. Bwana sikia sauti zetu twa kulilia, bwana silia sauti yetu pokea maombi yetu Ee bwana unisikilize natumainia tu kwako mungu wangu na tegemeo langu kamili. Nzambe tata yoka losambo nanga nabeleli yo. Nabeleliyo tata nabeleli yo. Ewe larha orhuyunve rwe bana bawe rwakuyakuza n’obukenge oyunvirize misengero yirhu. Simba nga na maboko nayo oo nkolo masiya. Seigneur ecoute nos prieres, nous sommes loins de toi

nous avons peche, Seigneur exhausse nos prieres. Mana yacu turagusenga utwumvire Date, mana yacu turagusenga akira amasengesho yacu.

38

5. Banyango bapesi yambae (x2).

yo

ee

SASA NI WAKATI WA SADAKA R/ Sasa ni wakati wa kutolea, towenis \sadaka wandugu na moyo mwema.

OFFERTOIRE

1. Ona twakuja kwako kukutolea sadaka 2. Sadaka tunayo leta ni alama ya mapendo 3. Totowe na moyo mwema nasi tutabarikiwa 4. Ukiwa na moyo mgumu, usitoe sadaka yako. 5. Ukiwa na chuki ndugu, sadaka yako ni ya bure.

NAYE NA MABONZA R/ Naye (x6) na mabonza (naye ee) (x2) 1. Ba tata baza koyaa (x2) na maboza. 2. Ba mama baza koyaa (x2) na mabonza. 3. Bilenge biza koyaa (x2) na mabonza R2. Tata Ndima Biloko topesi yo (x2) 1. Ba tata bapesi yo ee (x2) 2. Ba mama bapesi yambae (x2) 3. Ba mama bapesi yambae (x2) 4. Bilenge bipesi yo ee (x2)

yambae yo

ee

yo

ee

yambae

BWANA UPOKEYE MALI YANGU 1. Bwana upokeye mali yangu nakutolea kwa furaha, ulinikomboa toka zambi pokea matoleo yangu R/ Ee Bwana Yesu wangu, ulitafuta zambini, natowa Roho yangu ifanye akazi yako bwana. (Basse): Bwana wangu mwokozi yesu wangu mwokozi, mwokozi wangu ulinitafuta zambini nakutolea roho yangu nakutolea, Yesuutawale maisha yangu. 2. Nayaweka

mali yangu juu mbinguni kwako we bwana Mungu, Tumaini langu

39

nitayakuta huko mbinguni kwa baba. 3. Ulininunua bwana Yesu mimi mali yako bwana wangu kwa hiinatowa mali yangu ifanye kazi yako bwana.

2. 3. 4.

POKEA SADAKA TUNAKUTOLEA 1. Pokea sadaka tunakutolea ee Baba kwa kwa imani kubwa ee x2 R/ Sadaka iye sadaka iye iye baba Mungu, pokea sadaka twakutolea x2 2. Na Wa baba wanakutolea ee Baba imani kubwa pokea ee 3. Na wa mama wanakutolea … 4. Na wa kaka wanakutolea…… 5. Na wa dada wanakutolea….. 6. Na wa toto wanakutolea……

wote kwa wote wote wote wote

5. 6. 7.

mwenyi huruma, uipokee baba. Twakutolea (Baba): Divai yetu………… …………………...: Eklezya yetu…………. …………………...: Furaha yetu: ……………. …………………...: Magumu yetu:………. ……………….......: Maisha yetu………….. ……………….......: Vyote vya dunia………

NIKUPE NINI MUNGU WANGU R/ Nikupe nini Mungu wangu nikupe nini we mwokozi, nikupe nini Bwana Wangu cha kukupendeza. 1. Nakutokea mukate toka mmeya wa ngano, nakutolea divai ni tunda la mizabibu : Ninakuomba mwokozi nifanyiye musamaha na unipokee mema ubayo onyesha nitafanya nini mimi nikurudishie. 2. Kila

BABA MWEMA R/ Baba mwema utazame sisi wanaana wako, twakutolea tulivyo navyo 1. Twakutolea (Baba): Mukate wetu (Baba Mwema) wewe

nitakachoshika mbona bado ni kidogo, fazila unazotenda kwangu mimi naogopa 3. Mchana hata usiku wewe wanisimamia na nikiwa safarini waniepusha ajali 4. Nikiwa na matatizo bwana wanisimamia, nikiwa kwenyi majonzi wewe unanifariji 5. Kama njia sioni wewe waniongoza, na hata nikopoteya kwako unanirudisha.

40

R/ Nitafanya nini mimi kitakacho kuwa sawa na fazili zako, nitaimba vipi mimi niyataje mema yako utendayo kwangu.

EE MIMI NAKUJA R/ EE Mimi nakuza ee mimi, kutolea ee mimi sadaka yangua upokee. 1. Mkate na Divai nakuja kutolea 2. Nakuja kwako Yesu nakuja kutolea. MUUMBA WA VYOTE POKEA R/ Muumba wa vyote pokea ee x2 Muumba wa vyote pokea ee x2 1. Twakutolea mkate huu pokea, ee sadaka pokea, ee sisi wana pokea. 2. Twakutolea Divai hii pokea, ee sadaka pokea, ee sisi wana pokea.

baba yetu wako baba yetu wako

R/ Baba pokea, uipokea Baba Mungu nayitola kwako. 1. Mungu Mkate. 2. Mungu Divai 3. Mungu Eklezia 4. Mungu Wazazi

nakutolea Mkate aa nakutolea Divai aa nakutolea Eklezia aa nakutolea Wazazi aa

EMBERE ZA MUNGU 1. E mbere za Mungu narhuzir’ebyanibyoshi nakalamo emwa larha namahanga x2 R/ Entulo yani x2 nakulerhera x2 we larha wirhu x2 oziyankirire bwinja. 2. Nyumuzinda w’obwonjo urhusimiwe ku lusha byoshi bya han’igulu x2 3. N’omugala Yesu bamubamb’okumusalaba erhi ebyaha byirhu birhumire x2 4. Rhurhure emisi rhurhure n’akalamo kirhu embere za larha namahanga. TWETE BINGI R/ Twete bingi twete myengo ya mwana wobe mwene ushimu tutanguke kya’a myengo. 1. Bashu babyamba twete myengo ya mwana wobe 2. Na bisetu…………………………… ………….. 3. Na binetu…………………………….. .

41

4. Ndume shetu………………………… 5. Ashi shetu…………………………….. 6. Mwene ushimu………………………

wamarhu

larha……………… Ogendage abakenyi………….

orhale

Orhayibagiraga n’emfuzi…

abukana

Larha, Larha we oziyankirirhe omu mwawe…

MABONZA R/ Tobonzela esengo iyole x2

2. Hanoba

nzambe

na

Iyole iyole x yaka tobonzela 1. Ba tata ba biso (babonzeli yo x2) babonzeli yo na bango. 2. Ba mama ba biso………………………… 3. Ba yaya ba biso………………………….. 4. Ba leko ba biso…………………………

3. Orhabale

abazamba

yaga…………… Okayumva hakuburhaga………..

sho

Ozigirhe nyoko umubugikulu bwane Larha, larha we oziyankirire omu mwawe.

NGASI MUGUMA R/ Ngasi muguma achihume ko we ahan’entulo, Abe mugele abe mukenyi ahan’entulo Achihomaganye we aha, achimaramase we aha, [Arhule arhule n’omwishingo oh] x2

NKOLA NARHULA R/ Nkola narhula: Ohane n’obulonza ecigabi c’ebirugu byawe

1. Oyigule omurhima gwawe: ochihume kwo we aja N’enkengero zawe zoshi………………………… Orhayinganangwa untulo

Onamanye oku irenge buira obundi neshubira Oleke mpane:

omurhule

Oleke mpane oku omurhima gwani gudesire

Larha, larha we oziyankirire omu mwawe.

Arhele mango nafa ekuzimu nabiheka.

42

1. Mumany’irhondo murha yonganagwa n’ebimwarhula aka mwene adamu bulya cirhu ebi mwahirhwe birhi binene bwenene murhaka bilyula 2. Yesu adesirhe : babirh’erhi basharhu bagwasinye Okwizino lyani ndi ekarhi kabo Chocirhumire murhayihanaga, omukarhinda Orhaheba embuga orhayilota.

TUITOWE MALI YETU 1. Tuitowe, tuitowe mali yetu ahe x2 R/ Ee mali yetu ahe tuitowe na furaha, tuitowe na mapendo mali yetu ni ya bwana. 2. Tusifiche, tusi fiche mali yetu ae x2 Ee mali yetu ahe tuitowe na furaha, tuitowe na mapendo mali yetu ni ya bwana. 3. Tunaleta, tunaleta mali yetu ae x2 Ee mali yetu ahe tunaleta na furaha, tunaleta na mapendo mali yetu ni ya bwana 4. Upokee, upokee mali yetu ae x2 Ee mali yetu ahe upokee na furaha, upokee na mapendo mali yetu ni ya bwana 5. Ubariki, Ubariki mali yetu ae x2

Ee mali yetu ahe ubari na furaha, ubariki na mapendo mali yetu ni ya bwana

ENYI WABABA WOTE 1. Enyi wa Baba wote tutowe sadaka R/ Tutabarikiwa naye Mungu baba, tukimutolea sadaka yetu kwa furaha. 2. Enyi wa Mama wote sadaka 3. Enyi wa Zee wote sadaka 4. Enyi wa Dada wote sadaka 5. Enyi watoto wote sadaka

tutowe tutowe tutowe tutowe

OYANKIRIRE R/ Oyankirire mashi muhanyi, mashi muhanyi ezi ntulo aha, Ezi rhudwire mashi muhanyi mashi muhanyi aleluya aha Aleluya ahaa ahaa x2 1. Oziyankirire n’obwonjo bwawe n’obusime bwawe larha mwinja Zirhubere mulagi emwawe larha, emwawe larha O mu mpingu aha, (O mu mpingu aha ha aha) x2 2. Ogu mugati rhwarherekera, rhwarherekera bene werhu aha, Guhinduke mubiri gw’omwana wawe, mubiri

43

gw’omwana aha

wawe

aleluya

Aleluya aha ha aha x2 3. Eri rivai rhwarherekera, rwarherekera bene wirhu aha, Lihunduke muko gwage mutagatifu muko gwage mutagatifu aleluya aha Aleluya aha ha aha x2 4. Ngasi kantu rhubone eno mwirhu, erhi emwawe Rhukarenzire aha n’ebyo byoshi warhuhire muhanyi nirhu rhweshi rhukuluzire ebyo aha rhuhune rhweshi aa rhuhune rhweshi aha a aha. 5. Mulungano

gwa

b’eno aaa Gurhabal’abirhu aaa Orhuh’obuhashe muhanyi aaa

bakristu balagilire

Baba yangu ndiye mlimaji: milele na milele 2. Kila tawi lililo ndani mwangu: milele na milele Ndalisafisha lizae zaidi: milele na milele 3. Kila tawi lililo ndani mwangu: milele na milele Lisilo zaa matunda nitalikata: milele na milele BYA BINO R/ Byabino tata ebihembo, byabino wangirire byoo (ka byabino) 1. Twamakuherera tata aa Omugati tata aa 2. Twamakuherera tata aa Edivai tata aa 3. Twamakuherera tataa N’emitima tata aa

nirhu

4. Twamakuherera tata aa Amaghali tata aa

Rhuyigilize abarhakuyishi aaa

5. Twamakuherera tata aa Amulima tata aa

Obayigule aaa

amasu

muhanyi

Bakumanye banakukolere: kwinja muhanyi aha x5 JITOWENI SADAKA KWA BWANA R/ Jitoweni sadaka kwa \bwana milele na milele(wandaugu) x2 (Kwani) kwani yeye bwana aliye mwema mutumikiyeni x2 1. Mimi ni mzabibu wa kweli: milele na milele

UBARIKIWE R/ Ubarikiwe ee Baba yote tunayo ji mali yako, sadaka hii tunakutolea ikuoendeze 1. Tunapokea kwa wema wako mkate huu tunaokutolea uwe kwetu sisi mkate wa uzima asifiwe bwana Mungu milele 2. Tunapokeya kwa wema wako divai hii tunayo kutolea iwe kwetu sisi kinywaji cha uzima asifiwe Bwana mungu milele.

44

3. Nararwaye ……………... Ngo ncumure …………...

BABA MUNGU POKEA BabaMungu we pokea x4

irantabara: irantabara:

Baba wa huruma x4 Baba angaliya wachanga ee x2

wana

wako

Wanakutolea x2 BABA WA MBINGUNI R/ Baba wa mbinguni Baba wa rehema ww baba upokee sadaka yetu x2 1. Tunakutolea mkate na baba pokea 2. ……………. Mimea yote…………… 3. ……………. Magumu yetu………... 4. ……………. Furaha yetu……………. 5. ……………. Wazazi wote………….

divai yetu yetu yetu wetu

EGO ME R/ Ego me, Ego me Birakwiye nshikanira Iman vyose.

ko nanje yampaye

1. Yarandemye

ingir’umuntu ndabishima: ndabishima Yarankunze iranzigama : ndabishima

2. Yarampaye ndabishima Yarampaye ………….......

4. Yarampaye ijambo ryayo: ………… Irampa ubuzima bwayo: …………... 5. Yanyeretse inzira …………… Yam’imbwira ukuri …………

nziza: kwayo:

TU ES BENI R/ Tu es beni pour l’eternite, toi le seigneur qui nous donne ce pain et ce vin qui sont source de vie. 1. Nous presentons ce pain à ta table par ton amour qu’il devienne ton corps 2. Nous presentons ce vin à ta table par ton amour qu’il devienne ton sang 3. Pour toi seigneur nous chantons en freres fais qu’à ce pain nous soyons tous unis 4. Pour toi seigneur nous chantons en freres fais qu’à ce vin nous soyons tous unis 5. C’est ton amour qui nous a donne, de tous nos travaux voici notre fruit.

abavyeyi: abagenzi:

BWANA MUNGU MALI YOTE NI YAKO.

45

R/ Bwana Mungu mali yote ni yako, we mwenyezi wa vyote, twatolea sadaka kwako e Mungu 1. Ibrahimu katowa mwanae sadaka kwako ee Mungu 2. Abeli, katowa kondo nono kwako ee Mungu 3. Noe naye katowa sadaka safi kwako ee Mungu 4. Yusufu Barnaba katolea shamba lake kwako ee Mungu 5. Mujane naye katolea senti mbili kwako ee Mungu 6. Bwana Yesu katowa mwiliwe sadaka kwako ee Mungu

4. J’etais artisan et je n’etais

pas indigent, je ne songeais qu’à mes outils, j’ai change de vie pour retrouver la joie de vivre :…………… NAZALI MWANA WA YO 1. Nazaili mwana wa yo naye kopesa yo mabonza : nkolo tata yamba mabonza x2 R/ Tata nzambe yamba mabonza

eee,

tata

Tata limbisa ngai : tata yamba , mabonza Tata salisa ngai aa : ……………………

TU N’AS VOULU NI SACRIFICE

Ngayi mwana …………………..

R/Tu n’as voulu ni sacrifice, tu n’as voulu ni holocoste, mais tu m’as faconne un corps et je dis seigneur me voici. 1. J’etais un pecheur quand le seigneur m’as appele, il m’a pris malgre mon peche, et j’ai su ce jour que son amour est sans frontiere : prends ma vie je suis à toi seigneur. 2. J’etais percepteur quand son regard m’a foudroye et j’ai du changer de santier, j’ai ferme la porte sans regerder en arriere :……………………. 3. J’etais commercant et j’amassais beaucoup d’argents, je dormais en paix sans souci, j’ai vendu mes biens, quite les miens pour le suivre :………

wayo :

2. Moteme mwanga mobebi nayeleli yo : tata yamba mabonza 3. Batata ba biso banso babonzeli yo :.. 4. Bamama ba biso banso babonzeli yo…. 5. Bilenge ba biso banso babonzeli yo:.. RHULERHE ENTULO ZIRHU R/Rhulerhe rhweshi

entulo

zirhu

Rhuharamye munyumpa yage

larha

o

Orhuyankirire n’entulo zirhu

haguma

Ye muhanyi na larha wirhu x2

46

1. Orhulolereze kurhenga sezi: namwirhu Rhunali eburhambi bwawe: ……… Nti rhukuyereke bwirhu:……

obuzigire

Rhukusereko bwenene ensiku zoshi:… 3. Rhukulagirire ko bwenene: …………. Orhucize n’obwonjo bwawe: ……….. Yagirwa rharhuyirag’omu mutula gwawe 4. Kristu

nawirhu

yen’arhulaganyize:… Ok’abacigu shire haguma banga:…… Bakahuna nenci babalirwa:……

cirhumire kurherekera:……… Ogu mugati n’eri ……………… Amasu bej’emund’oli:…

NINAKUJA KWAKO

1. Maisha yangu: Baba uyipokee Uzima wangu:……………… Furaha yangu:………………..

2. Rhukuhunyir’obwonjo yagirwa:……… Orhuhe n’irhu obushu bunji: ………….

5. Co

R/Ninakuja kwako na maisha yangu navyote ni navyo uvipokee x2

bana

Magumu yangu:……………… 2. Wazazi wangu:……………….. Wandugu wote:………………. Watoto wote:………………… Vijana wote:…………………. 3. Mapadri wote:……………...... Watawa wote:……………….. Ma frera wote:………………. Ma bikira wote:……………… 4. Matoleo haya:………………. Mukate huu:………………… Divai hii:…………………… Mahitaji yangu:…………… 5. Eklezia yetu:………………… Diosezi yetu:…………………

rwa rivayi:

n’emirhima

Parokia yetu:………………… Shirika zote:…………………

SHOGOMANGA N’ISHIKANWA R/ Shogomanga n’ishikanwa turihereze Imana niyo itanga vyose. 1. Umukate n’umuvinyo tubihereze imana: shogomanga n’ishikanwa,

47

Abavyeyi n’ibibondo tubahereze Imana: niyitanga vyose 2. Ababanyi

n’abagenzi

…………………. Abakunzi n’abatwanka: ……………….. 3. Ugwanda n’abanyagwanda…………… Abatware n’abatwarwa: ………………. 4. Abiwacu

mbe n’ivy’iwacu…………. Abarwaye n’abagowe: ………………… uryango ……………….. Eka twese …………………

w’abakristu: turi

ngaha:

UPOKEE BABA R/ Baba upokee, sadaka 1. Twatolea kwako ee sadaka Mkate na divai:…………. Baba zipokee:………… Ni matunda yetu:…….. 2. Twatolea kwako:…… Mapadiri wote:…….. Mabikira mote:…...... Na Mafrera wote:….. 3. Pokea sadaka:…….... Na maombi yetu:….. Na Eklezi yetu:……. Na Parokia yetu:….. 4. Pokea sadaka:…….

Na furaha yetu:….. Na magumu yetu:… Wewe muweza vyote

KRISTU NYAKASANE R/ Kristu nyakasane ahaa, mudahwa mukulu lwoshi ahee ahaa aka melkisedeki, ahee arhul’omugati ni rivayi arhula x3 omugati ni rivayi. 1. Nyakasane ajiraho abwora na wabo ahaa, Akanwa mputamale kulyo kwani ahaa Ntangi yandaza abashombanyi bawe ahaa magulu gawe arhula x3 omugati ni rivayi 2. Nyakasane ayankitumu lyo bwami bwage Alirhogeza omusioni mpu ly’oyime ahaa Lyo uhime omu kabashombanyi bawe.

garhi

3. Kurhenga hakuburhwa kwawe olino bukulu Omubulangashane no mu butagatifu ahaa Nyene nakuburhaga embere zomu cira cira ngalume x2

UTUKUZWE EE BABA 1. Utukuzwe ewe baba Mungu utukuzwe aleluya Kwani Yesu mufufuka ametualika:…………..

48 2. Toutes

nos richesses provinent du seigneur, marchons vers lui mes frères : pour lui confier nos trésors en reconnaissance de ses merveilles offrons avec joie argents et produits.

R/ Utukuzwe, utukuzwe baba Mungu wa ulimwengu:…. 2. Tumepokeya mkate mazao ya mashamba:…….. Ndiyo alama kwetu ya wema wako mkuu:…….

3. Toutes

nos richesses proviennent du seigneu, marchons vers lui mes frères, pour lui confier notre vie en reconnaissance de sa puissance rendons au seigneur la gloire et l’honneur.

3. Ni tunda la bidii ya mkono na

ya moyo:……….. (U)jaliye iwe kwetu chakula cha uzima :………. 4. Zawadi ya divai kutoka mizabibu :… Ndiyo alama kwetu ya wema wako mkuu :…… 5. Ni tunda la bidii ya mkono na ya moyo:…………. (U)jalie iwe kwetu kinywaji chake roho :…

COMMENT GRACE

TE

RENDRAI-JE

R/ Comment te rendrai-je grâce au seigneur, pour les biens que tu m’as fait, je m’avancerai vers ton Autel, en portant les merveilles de ton amour. 1. Toutes

nos richesses proviennent du seigneur marchons vers lui mes frères : pour lui offrir nos présents en reconnaissance de son amour, donnons au seigneur de ce que nous avons.

4. Toutes

nos richesses proviennent du siegneur marchons vers lui mes frères pour lui confier nos familles en reconnaissance de sa grandeur il est généreux plein de bénédictions

LES GRAINS DE BLE MOULUS ENSEMBLE 1.

Les grains de blé moulus ensembles sont devenus un meme pain : C’est Jésus Christ qui nous ressemble, Vivante hostie aux mille grains. Les grains de blé moulus ensembles sont devenus un meme pain.

2. Recois, O Père cette Hostie

Que nous t’offrons pour les péchés :

49

Fais de ce pain L’Echaristie le corps du Christ ressuscité Recois, O Père cette Hostie Que nous t’offrons pour les péchés 3. Tous

les raisins pressés ensembles sont devenus un même vin : C’est Jésus-Christ qui nous rassemble, Vivante grappe aux mille grains. Tous les raisins presses ensembles sont devenus un même.

Na Divai tunayo tolea, igeuzwe Damu yake Kristu. 4. Twaleta

mazao ya mashamba, pia matunda ya kazi zetu; Twavileta mbele yako Baba vikupendeze uvibariki.

TANGA ISHIKANWA R/Tang’ishikanwa dutange amaturo yacu, tuyashir’Imana yo itanga vyose, dukenguruke mu vyo yaduhaye, twizere yuko izotwongera.

le vin crée pour notre joie :

1. Umukate iyo mvyeyi yaduhaye birakwiye yuko tuwuyihereza

Qu’il soit le sang du sacrifice, Vrai sacrement du Christ en Croix !

2. Umuvunyu iyo mvyeyi yaduhaye birakwiye yuko tuwuyihereza

Recois, O Père, en ce Calice, le vin crée pour notre joie

3. Abavyeyi iyo Mana yaduhaye tubayiture ibahezagire.

4. Recois, O Père, en ce Calice,

EE NDUGU TOA 1. Una nini cha kumpa Bwana ? Juwa kwamba yote mali yake Usifanye choyo mbele yake, umrudishie shukwani R/ Toa ndugu toa leta leta moyo wako kwa Bwana, toa toa pia mazao yako : utatuzwa naye. 2. Sadaka impendezayo Bwana, siyanyama wakuteketezwa Ni sadaka ya moyo mkunjufu, unaojaa unyenyekevu 3. Mkate

huu tunaotolea ugeuzwe mwili wake Kristu,

4. Abana iyo mvyeyi yaduhaye

tubayishire ibahezagire.

50

SANCTUS NZAMBE AZALI MOSANTU R1/ Nzambe azali mosantu nzambe azali mosantu, solo nzambe azali mosantu. 1. Likolo na nse ee bitondi na nkembo

naye, R2 2. Asanzolama mpe oyo nkombo ya yawe, R2

akiti

na

R2/ (Hozana) Hozana, Hozana, Hozana oh likolo x2 MWIMANA R/ Mwimana nyakasane larha wirhu 1. Empingu, empingu n’igulu n’igulu biyujwire irenge lyage. 2. Aganze, aganze oyishire, oyishire okw’izino lya larha wirhu.

MTAKATIFU

51

R/ Mtakatifu x3 Bwana Mungu wa ulimwengu. 1. Mbingu na dunia zimejaa sifa yako. 2. Mbarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana 1-2 : Hozana x3 juu mbinguni.

WEWE PEKE YAKO MTAKATIFU R/ Wewe peke yako mtakatifu eyo, jina lako ni kubwa ee Baba, jina la sifa ee ee Baba ee x2 Base: Wa mbinguni wanaimba: ee Baba ee Mbarikiwa anayekuja: …………………..

ANAMNESE -

Hakuna Mungu kama wewe x4

-

Mwili huu ni wangu Kamateni mule mwili huu ni chakula cha milele :

Kwa jina la Bwana: ………………………….

Damu hii ni yangu kamateni munywe Damu hii ni kinywaji cha milele.

Hozana juu mbinguni: ……………………..

Tutangaze fumbo la imani Kristu amekufa, amefufuka atarudi tena Bwana. -

Voici le Coprs du Christ : Corps livre pour nous. Voici le Sang du Christ : Sang verse pour nous Il est grand le mistere de la foi : nous proclamons ta mors seigneur Jesus, nous celebrons ta resurrection, nous attendons ta venue dans la gloire

52 -

Mkate huu twa tolea ugeuke mwili wa mwanako….

-

Oneni wote, oneni wote mwili huu….

PATER TUMWIMBIYE BABA YETU R/Tumwimbiye Baba yetu, Baba yetu ee wa mbinguni jina lako ee, ltukuzwe ee yo baba yoyo. 1. Jina lako litukuzwe ufalme wako uje kwetu mapenzi yako yafanyiwe duniani kama vile mbinguni. 2. Utupe leo chakula chetu utumehe makosa yetu kama tunavyo wasamehe wale walio tukosea. 3. Usituace vishawishini maovuni milele amina

kushindwa utuopowe na milele

MITUME WALIULIZA YESU 1. Mitume waluliza Yesu tuseme nini tumwombe Baba Mungu

53

R/Tumwombe namna gani Baba, namna gani Baba yetu wa mbinguni. 2. Baba Yetu wa mbinguni jina lako lisifiwe popote 3. Utakayo yatendeke duniani kama vile mbinguni 4. Utupatiye chakula chetu chakula chetu cha siku zote 5. Utusamehe makosa Yesu kama tunavyo samehe wenzetu 6. Utuepuche na vishawishi napia utuopowe maovuni BABA YETU WA (NEKPALA ) MI

MBINGUNI

R/ Baba yetu wa mbinguni, jina lako litukuzwe x2 1. Ufalwe wako uje: Baba ee Baba Mapenzi ……………….

1. Ufalme wako ufike kwetu mapenzi yako baba yafanyiwe ee Baba sikiya wanao. 2. Duniani kama mbinguni utupe leo chakula chetu chakula chetu cha kila siku. 3. Utusamehe makosa yestu tunavyo wasamehe walio tukosea mapendo yako yashinda mabaya yote. 4. Usituache kushindwashindwa kushindwashindwa na vishawishi lakini utuopowe katika maovu. BABA YETU EE BABA YETU EE R/Baba yetu ee Baba yetu ee x2

mbinguni:

1. Baba yetu wa mbinguni ii

2. Chakula chetu ……………… yetu

R/Ewe Baba wa Mbinguni Jina lako kubwa lisifiwe, Ewe Baba wa mbinguni jina lako kubwa lisifiwe.

yafanyiwe:

Duniani ………………….

Makosa …………..

EWE BABA WA MBINGUNI

Jina lako lisifiwe ee tupe: samehe:

Ufalmwe wako uje ee Mapenzi yako yafanyiwe ee 2. Utupe chakula chetu uu

Kama tunavyo samehe:……… 3. Usituache …………………..

Baba:

Vishawishini ………………

Baba:

Chakula cha kila siku uu Utusamehe makosa aa Kama tunavyo wasamehe ee

Tuopowe maovuni:…………….

3. Usituache kuchindwa aa Kushindwa na vishawishi ee

54

Lakini utuopoe ee Leo kesho na milele ee.

5. Et ne nous soumets pas à la tentation mais délivres-nous du mal.

LARHA MWINJA R/ Larha mwinja oli omumpingu (larha) x2 Izino lyawe likuzibwe hoshi (larha) x2. 1. Obwami bwawe buyishage oku walonza kube en’igulu nk’omumpingu (larha) 2. Ene na ngasi lusiku urhuhe eci rhwalya inarhubabalirhe ebyaha birhu (larha) 3. Oku nirhu rhubabalirha ngasi balya boshi barhujirir’amabi (larha) 4. Orhana rhulekaga rwhahirim’omu mabi ci orhulikize omu kubi amen (larha)

NOTRE PERE PLEIN DE BONTE.

1. Notre Père qui es aux cieux que ton nom soit sanctifié nous te prions.

AGNUS DEI

2. Que ton règne vienne, que ta

MWAMEME YA NZAMBI

R/ Notre Père plein de bonté et d’amour, nous te prions.

volonté soit faite sur la terre comme au ciel. 3. Donnes-nous

aujourd’hui, notre pain de ce jour, nous te prions.

4. Pardonne-nous nos offenses,

comme nous aussi à ceux ont offensés.

pardonnons qui nous

Bass: Ee Mwa meme ya nzambi yeye Alto: …………………………………………… … Tenor: …………………………………………..

55

Soprano: Mwa meme ya nzambi iii, ya yi kyekatula masumu Tuila beto nkenda

NTAMA W’IMANA -

Ntama w’Imana ukiza ibyaha by’abantu tubabarire

-

Ntama w’Imana ukiza ibyaha by’abantu tubabarire

-

Ntama w’Imana ukiza ukiza ibyaha by’abantu uduhe amahoro.

Pesa beto ngenda Kimeme, kimeme, kimeme: ee kimeme, ee kimeme ee kimeme. MWANA KONDOO WA MUNGU

AGNEAU DE DIEU

-

Mwana kondoo wa mungu (x2) utuhurumie; huruma (x7) utuhurumie.

-

Agneau de Dieu qui enlève nos péchés Oh prend pitié de nous, oh prend pitié de nous.

-

Mwana kondoo wa mungu (x2) utuhurumie; huruma (x7) utuhurumie.

-

Agneau de Dieu qui enlève nos péchés Oh prend pitié de nous, oh prend pitié de nous.

-

Mwana kondoo wa mungu (x2) utuhurumie; amani (x7) utupe amani.

-

Agneau de Dieu qui enlève nos péchés Oh prend pitié de nous, oh donne nous la paix.

HURUMA YAKO EE BWANA -

Huruma yako ee bwana ni kubwa juu yetu ewe mwana kondoo (x2). Ae mwana kondoo uondowaye zambi za Dunia (ae mwana kondoo) twaomba utuhurumie.

-

Huruma yako ee bwana ni kubwa juu yetu ewe mwana kondoo (x2). Ae mwana kondoo uondowaye zambi za Dunia (ae mwana kondoo) twaomba utuhurumie.

-

Amani yako ee bwana itueneye sote ewe mwana kondoo (x2). Ae mwana kondoo uondowaye zambi za Dunia (ae mwana kondoo) twaomba utupe amani.

COMMUNI ON OH TWENDE KWA BWANA

56

R/Oh twende kwa Bwana amatualika Karamuni mwa mwana kondoo tumkaribie 1. Na Mwili wa Bwana Yesu umejenga hekalu letu tumkaribie 2. Na Damu ya Bwana Yesu imejenga hekalu letu tumkaribie 3. Sisi wote twakaribishwa mezani mwa Mungu baba tumkaribie

R/ Atualika mezani pake twende tukale chakula bora x2 1. Bwana Yesu atuita kwenye karamu kubwa tukampokee 2. Mwili wake bwana Yesu unaleta uzima mwilini mwetu 3. Damu Yake Bwana Yesu ni kinywaji chetu cha wokovu 4. Tunapo sogeya meza twaungana na bwana milele yote 5. Usiope ee ndugu kusogea mezani ukashibishwe KWA

MEZA

YAKE

R/ Jongeeni kwa meza yake Bwana x2 Jongeeni wote kwa meza ya Bwana jongeeni. 1. Bwana

Yesu pale akatwaa mukate.

Yesu pale akatwaa kikombe.

mezani

(Akawapa wamitume wakisema hii ni damu yangu kunyweni)x2 3. Bwana Yesu kiisha karamu

akasema na mitume. (Na nyinyi mufanye hivi kwa kunikumbuka)x2 4. Twapokea mwili moja kwa imani yetu moja. (Sasa yuko mwili watoto wa Mungu)x2

ATUALIKA MEZANI PAKE

JONGEENI BWANA

2. Bwana

mezani

(Akawapa wamitume akisema, huu ni mwili wangu kuleni)x2

moja

BWANA AMEWALISHA NGANO R/Bwana amewalisha ngani bora Aleluya, na amewashibisha na asali ya mwambani. 1. Mshangilieni Mungu nguvu yetu x2

aliye

2. Mpigieni shangwe Mungu wa Yakobo x2 3. Mpazeni saburi na mpigeni ngoma x2 TUMEALIKWA NA BWANA R/Tumealikwa na Bwana Mezani mwake ee x2

aa

1. Bwana Yesu asema mimi niko chakula 2. Bwana Yesu asema mimi niko kinywaji 3. Bwana Yesu asema mimi niko mwangaza

57

4. Bwana Yesu asema mimi niko njia 5. Bwana Yesu asema mimi niko mapendo 6. Bwana Yesu asema mimi niko ukweli.

2. Bisengo, ambiance ngai nalingite nzambe wanga, naboi masumu ya mokili sepo nakolanda yo oh nzambe wanga. JONGEENI JONGEENI. R/Jongeeni Jongeeni jongee x2

BLE QUI MONDE.

MURIRA

SUR

LE

Kula Mwili wa Bwana Yesu Kristu

1. Blé qui mûrira sur cette table, blé qui germera sur notre terre, Blé qui mûrira sur ta parole, blé qui germera sur notre monde. 2. Blé qui mûrira dans nos ténèbres, blé qui germera sur la lumière, Blé qui mûrira parmi les hommes, blé qui germera dans nos demeures. 3. Blé qui mûrira sur ta parole, blé qui germera sur notre doute, Blé qui mûrira au tour de l’homme, blé qui germera sur ton Eglise. R/ Seigneur ta parole nous uni au tour de cette table et tu redis à table prête (x2)

Na Kunywa kikombe cha wokovu

NZAMBE WANGA R/ Nzambe wangaa, nakelami nayo nzambee, na bobeto bwayo nzambee, nzambe wangaa (x2). 1. Yango ya nini bakopekisa ngai na nzambe wanga, botika ngayi na landa nzela oyo napolii, nzambe wangaa (x2)

Vile alivyo sema ndiyo uzima wa milele.

1. Mwili wake Yesu Kristu ni chakula cha uzima: Jongeeni x2 kwa meza yake Bwana 2. Damu yake Yesu Kristu ni kinywa ji cha wokovu: Jongeeni… 3. Anaye kula mlate huu ni rafiki ya Bwana Yesu: Jongeeni… 4. Anaye kunywa damu hii ni rafiki ya Bwana Yesu: Jongeeni… MKARIBIE MEZANI. R/Mkaribie mezani mkaribie, kula mwili wake Yesu na damu yake mkaribie. 1. Wa Baba wote na wa Mama, mkaribie, kula mwili wake Yesu na Damu yake mkaribie. 2. Wa Kaka wote na wa Dada mkaribie… 3. Wijana wote na Wazee mkaribie…

58

4. Waimbaji wote na watoto mkaribie… 5. Wa Legio wote na Wajane mkaribie…

4. Bwana Yesu atualika kwa chakula cha uzima 5. Alaye mwili na kunywa damu atapata uzima mpya 6. Tujongee na moyo safi tupokee mwili na damu.

CHAKULA KITAMUEE Utangulizi: x4

Chakula

kitamuee

R/ Aksanti kwa Mungu mfalme aniita mezani pa takatifu neno lililokuwa kwani kristu ni jmbo kubwa. 1. Mkate tunakula twapewa hatuuzee 2. Divai tuna kunywa twapewa hatuuzee 3. wa Baba njooni wote tumpokee Bwana Yesu x2 4. Wa mama njooni wote… 5. Wa Kaka njooni wote… 6. Wa Dada njooni wote… 7. Wa Zee njooni wote… EE BWANA SISTAHILI R/Ee Bwana sistahili sistahili Bwana uje moyoni mwangu (lakini) sema neno moja sema neno (mojatu) nami nitajongea mbele kwa Karamu x2 1. Mwili wako chakula bora cha uzima wa milele 2. Damu yake kinywaji bora cha uzima wa milele 3. Njooni wote mezani pake ye mwenyewe atualika

COMME LANGUIT UNE BICHE R/Comme languit une biche, après l’eau vive ainsi mon ame te cherche mon Dieu, mon ame a soif de toi. 1. Mon ame a soif du Dieu vivant, quand irai-je te voir seigneur te contempler. 2. A chaqu’instant je cris vers toi et mon ame gemit pour toit le Dieu vivant 3. je me souviens de ton salut et chaqu’aube m’inspire un chant d’espoir 4. Espere en Dieu mon ame et publie les louanges de ton seigneur. 5. M’oubliras-tu seigneur mon Dieu, quand j’aurai à paraitre devant la mort 6. Honneur au Pere, gloire au Fils et louange à l’Esprtit d’amour à tout jamais. YESU HAPA ALTARENI R/Yesu hapa altareni nakusifu moyoni ninapo kupokea najaliwa furaha, Yesu hapa altareni nakusifu moyoni.

59

1. Yesu kwa mwili wako unanifanya wako, ukinipa uzima wako babako mwema Yesu kwa mwili wako unanifanya wako. 2. Kwani ulitupenda ulituvuta kwanda. Kwa ufalme wako juu, tufurahi kule juu, kwani ulitupenda unatuvuta kwenda. 3. Nikila wako mwili napata nguvu kweli, (u) nipe wako mwangaza nao watu waangaze, nikila wako mwili unanivuta kwenda. 4. Tumtukuze Babetu, Mwana Roho mtakatifu mwanzo sasa daima, watawale milele, tumtukuze Babetu, Mwana Roho mtakatifu. KARAMU YA BWANA R/ Karamu ya Bwana inatungoja sisi wote wana tulio batizwa, tukila tukinywa mwili na damu uu uzima ni wetu 1. Bwana Yesu Kristu aliwalisha

vipofu viguru na viziwi wote wakapata uzima mupya, uzima ni wetu.

uzima mupya na mwili na Roho. 4. Hivi akafanya karamu ya mwisho, akatwaha mkate na divai alama ya mwili na damu yake kawapa mitume. NITAJONGEYA MBELE YA MEZA R/ Nitajongeya mbele ya meza nipokee. Roho yangu YEsu inakutamani, ukae ndani yangu nami ndani yako; nipate uzima wa milele. 1. Karibu Yesu wangu shinda na mi daima moyoni mwangu, uwe na mimi siku zote za maisha yangu. 2. Karibu Yesu wangu kitulizo

cha njaa moyoni mwangu uwe na mimi siku zote za maisha yangu. 3. Karinu Yesu kitulizo cya kiu moyoni mwangu uwe na mimi siku zote za maisha yangu. TU SAIS BIEN

2. Bwana Yesu Kristu aliwalisha mitume mukate na Divayi, wote wakapata uzima mupya uzima wa kweli.

R/Tu sais bien que mon amour, que mon amour est fragile, tiens-moi la mais, tiens-moi la main relève moi.

3. Kwa

1. Tu es à l’oevre dans nos vie

mifano mingi bwana Yesu alionyesha kama ana uwezo wa kuwapa watu

depuis l’aurore, tu veux planter dans nos déserts la sémance de vie.

60 2. Tu nous consoles chaque jour

à chaque étape car nous ne sommes rien sans toi espérance de vie. 3. Tu nous partage ton amour

par ta présence, mais nous ne vivons pas encore ta présence ene nos cœurs. 4. Tu nous invite à partager ta

sainte table, mais nous avons besoin de pain et de ta vérité. 5. Loué

sois-tu o notre Dieu seigneur de gloire, qui reigne sur la création pour les siècles sans fin.

ACTION GRACE

4. Tucheze na Furaha Bwana, Tumwimbiye Mungu wetu Bwana SISI WOTE TUMSIFU BWANA R/ Sisi wote tumsifu Bwana, bwana wetu kwa maajabu yake aliyofanya Bwana asifiwe. 1. Kugeuzwa kwa maji kuwa divai harusini pa kana Bwana asifiwe. 2. Kushibishwa kwa watu elfu tano ngambo ya bahari Bwana asifiwe. 3. Kushibishwa kwa watu elfu inne pale mulimani Bwana asifiwe. 4. Kufufuka kwa Lazaro na kwa yule binti wa Yairo Bwana asifiwe.

DE

MEMA HAYO YOTE R/ Mema hayo yote Bwana nitakurudishia nini Bwana x2 1. Mkate tulio kula Bwana , divai tuliyo kunywa Bwana 2. Wokovu tulio pata Bwana, kututumia mwanao Bwana 3. Tupendane kati Yetu Bwana, tukutanane mbinguni Bwana

RHWE NGULA GULA R/ Rhwe ngula gula rhuyimuke rhusame rhunavugelarha omunkwa, rhwama yigurha rhunavuge larha omunkwa, rhuhiny’amagala rhunavuge larha omunkwa. 1. Rhuvuz’engoma rhuvuzeminiho rhuvuz’enanga x2

rhucishinge

61

2. Rhudund’obula rhudund’ebirhugo rhudund’emuhwe rucishinge 3. Rhusam’entole, rhusame mahwinja rhusame njoo rhucishinge 4. Rhulek’endalwe rhulek’enshombo, rhulek’enongwe rhucishinge. RENDONS GRACE AU SEIGNEUR R/ Rendons grace au Seigneur car il est bon et son amour n’a pas de fin. 1. Rendons grace au Seigneur, oh pour le pain et le vin pour la parole de vie merci seigneur 2. Pour le ciel et la terre, oh, les astres, les mers, nos cœurs clament sans fin merci seigneur. 3. Que nos cœurs tous joyeux,

tout ce qui te chante toujours merci seigneur.

1. Enyi mbingu za Bwana mtukuzeni, enyi maji ya anga mtukuzeni, Jua na mwezi mtukuzeni bwana enyi nyota za mbingu mtukuzeni. (Kwani Bwana amenitendea makuu ) x2 2. Usiku na mchana mtukuzeni

enyi mwanga na giza mtukuzeni Dunia yote tukuzeni bwana milima na mabonde mtukuzeni kwani bwana amenitendea makuu. 3. Chemchem bahari mito mtukuzeni ndege zote za anga mtukuzeni vitembeavyo majini mtukuzeni umeme na vilima mtukuzeni, kwani bwana amenitendea makuu 4. Wanyama wa Porini na mifugo majani yote na miti mtukuzeni enyi viumbe vyote mtukuzeni malaika wa bwana, kwani bwana amenitendea makuu. Sur l’Eglise de ce temps alleluia que l’Esprit vient purifier. YE IYE YE 1. Ye iye ye dunia nzima shukuri bwana wetu wa mbingu ye iye ye ye x2 R/ Baba we usifiwe, Baba we utukuzwe

MBINGU NA DUNIA R/ Mbingu na Dunia mwimbieni Mungu nanyi mikono ya watu mpigieni aksanti ; kwani Bwana amanitendea makubwa.

Baba we upo mwema kweli, sababu ya huruma yako iyoo

62

2. Aligeuza maji kuwa nchi kavu, watu walivuka mto kwa miguu

B- Ndege miti nyama binadamu wote tumsifu x2

Kwa hiyo twa taka furahiya bwana, yeye aliye mkuu sana iyo

Tenor- Wote tumwimbie bwana tumpigie aksanti tumshangilie bwana Mungu ……

3. Enyi mataifa sifuni mungu wetu, zitangazeni habari za sifa yake Amezipa roho zetu uzima wala hakuacha miguu yetu itereze iyo 4. Nitaingiya nyumbani mwake bwana, na sadaka yangu ya kuteketezwa Nitatimiza naziri zangu kwake, nilizotoa kwa midomo yangu iyo

3. Bwana ni mwenyi nguvu na uwezo wote bwana ni mwema sana bwana amejaa huruma B- Tumpigie x2 Bwana x2 Tenor- Tumpigie aksanti aksanti

2ème Voix: Enyi Viumbe vyote aksanti sana Wa Baba wa Mama …………………

NITAMWIMBIA BWANA

Wa Dada………………………

R/ Nitamwimbia bwana Mungu wa huruma

…………………... Watoto……………………

Aksanti sana ee Bwana kwa uwema wako

……………………..

Moyo wangu pia na mwili wangu vyote vya kushangilia 2.

2ème Voix: Watu wote wa dunia waimba sifa yako Wamalaika na watakatifu wote wakuabudu bwana

Kaka

w

Tumpigiye Bwana

Siku zote na milele Mungu wa huruma Bwana x2

1. Nafurahi sana Mungu wangu umenitendea makuu

Bwana

Wazee Tumpigie

na

Bwana

TUNAKUSHUKURU BWANA R/ Tunakushukuru Bwana mbinguni na Duniani kote tunasifu jina lako ee Bwana ee Bwana x2. 1. Kwa mema uliyo tutendea: tunasifu jina lako Mbinguni na Duniani kote:...

63 2. Kwa vyote ulivyo tuambia:

5. Akampa chakula kila kiumbe:

……………

………

Wanyama wa pori na vifungo: ………

Mshukuruni mbinguni:..

3. Kwa vyote tunavyo vitawala:

………

wa

NIMEONJA PENDO LAKO 1. Nimeonja

Vionekanavyon kwetu sisi:… 4. Shukrani na shangwe kwako

Bwana:…. Tusifu wote milele amen:……

MSHUKURUNI MUNGU R/Mshukuruni Mungu (Kweli) kwa sababu ndiye mwema wema wake ni wamilele, wema wake ni wamilele. 1. Mushukuruni Mungu wa miungu: wema wake ni wa milele Mshukuruni mabwana:….. 2. Alifanya

Mungu

Bwana

wa

mambo ya ajabu:

…………. Amefanya mbingu hekima:………

kwa

3. Aliweka

nchi juu ya maji: ………………

pendo lako nimejuwa yu mwema: nitakushukuru nitawainuwa wote wakusifu wewe, Nitawaongoza vema waimbe kwa furaha: ……………………………… R/ Ukarimu wako Bwana na huruma yako wewe, msamaha wako Bwana na upole wako wewe umenitendeya wema usiyo pimika: nitakushukuru nitawainuwa wote wakusifu wewe.

2. Kina mama simameni mpige

vigelegele:……………… Na kina Baba nyanyuka mukapige magoti :…. 3. Vitambaa

mikononi vipeperushwe juu:….. Na vichwa viyumbeyumbe kwa mwendo wa kuringa: …………

mikubwa:

mimi na nyumba yangu yote: ……………………..

mchana:

Nitayatangaza haya maisha yangu yote:

Mwezi nyota zitawale usiku: ………

MSHUKURUNI BWANA (ZAB : 117)

Alifanya ………… 4. Nalo

mianga

jua litawale ……………

4. Nitakushukuru

…………………………………………

64

R/ Mshukuruni Bwana kwani ndiye mwema kwani wema wake ni wa milele. 1. Nyumba ya Israeli iseme kweli wema wake ndiye wa milele,Wenye kumwabudu Bwana waseme , kweli wema wake ndiye wa milele. 2. Katika Mashaka nilimwomba Bwana, Bwana akanisikiliza akanipa tulizo Bwana ni pamoja nami siogopi kitu mwanadamu aweza kutenda nini ? 3. Ni bora kumkimbiliya bwana kuliko kumwaminia mwanadamu ni bora kumkimbilia Bwana Kuliko Kuaminia wakuu. NITAMSHUKURU BWANA Nitamshukuru Bwana, nitamwimbia Bwana, nitamchezea bwana, ee Bwana x2 Muniiache nimwimbie wangu nimshukuru x2

Bwana

Botika ngai nayembela Nzambe na nga natondoe x2 Mpote, mpote bolamu bwaye boza na suka te x2 Abateli nga… Abikisi nga… Mundeke nyimpire wani muvug’omunkwa x2 Bulya, buly’aminja n’ensiku n’amango x2

gage

Larha gali

Amanyunva… Ansimire… Bashu bose tumwimbile ombe, tumulebule ombe wetu x2 Alumbu ewe, mwene mponga, mwene mponga, mwene mponga ,mwene mponga, mponga. Tutamshukuru kwani yeye ni Masiya, kwani yey ni mwokozi x2. Amen x16 alleluya.

Kwani, Kwani wema wake ndio wa milele x2 Ameniponya….

ASIFIWE DUNIANI KOTE

Amenipenda… Mundeke nimwimbile wani nimukoze x2 Lumbu, lumbu busine bikisa x2 Wanziga… Wanyunga

bushoga

leza bwage

1. Asifiwe Duniani kote na mbinguni asifiwe. R/ Furaha kwake Bwana furaha kwake yeye, furaha ye ye ye ye ye ye, furaha ye ye ye furaha. Shangilieni Bwana shangilieni ye ye shangili yeye ye ye ye ye shangili ye ye ye ye shangilie.

65

2. Aliumba mbingu na dunia, vitu vyoye ni yeye. 3. Ndege zote zilizo porini na samaki majini. 4. Vitu vyote vinavyoonekana, na visivyo onekana. MAISHA YANGU R/Maisha yangu Yesu nitakufwatae, mahali pote nitakufwatae mahali pote. 1. Muniache nifwate njia ya Bwana. 2. Muniache nifwate njia na chagua. 3. Wenzangu watanicheka nitakufwata. NI WOWE MUGENGA. R/Ni wowe mugenga wanjye Yezu, wandindiye ubuzima nza gusingiza. 1. Wabanye nanjye, mu ihe byiza no mubokomeye unyitaho Yezu. 2. Usingizwe Yezu uririmbwe na bose n’abatakuzi zabeshwaho nawe 3. Urukundo rwawe runter’imbaraga rukansimbagiza nkaririmba alleluya 4. Nfasha gukund’abandi nkuko wankunze, bose bakumenye ko ari wowe mugenga. 5. Kub’uyu munsi nkiri muzima s’uko nd’intungane, ahubw’unfitiy’umugambi. NIKITAZAMA

R/ Nikitazama mbingu na dunia kazi ya mikono yako ee Bwana ninakushukuru. 1. Mbingu na Dunia na vyote vilivyomo kwa uwezo wako ni wewe muumbaji. Mianga hii mikubwa juwa mwezi na nyota, kwa uwezo wako ni wewe muumbaji. 2. Nvua na juwa, joto na baridi… Mito na bahari milima na mabonde… 3. Miti na matunda na mimea yote… Mito na Bahari milima na mabonde… 4. Mutu kwa hekima aijenge dunia… Atawale dunia na vyote vilivyomo… TUNAKUSHUKURU EE BWANA R/ Tunakushukuru ee bwana, kwa kuwa umetenda mema aksanti ee bwana twashukuru ee bwana. 1. Kwa mwili wako: bwana Kwa Damu yako:…

aksanti

2. Kwa uzima wetu … Kwa mapendo yetu… 3. Kwa maisha yetu… Kwa furah yetu… 4. Kwa wazazi wetu:… Kwa mema yako… 5. Kwa taifa letu… Kwa Eklezia yetu… TUNAKUSHUKURU BWANA

66

R/Tunakushukuru Bwana, mbinguni na Duniani kote, tunasifu jina lako x2 1. Kwa mema uliyo tutendea, tunasifu jina lako Mbinguni na Duniani Kote…

3. Jina la Bwana litukuzwe asubui hata jioni. 4. Nani juu sawa na Bwana anaye kuwa

mbinguni 5. Bwana Juu ya mataifa utukufu wake mbingu.

2. Kwa vyote ulivyo tuambia… Wanyama wa pori na mifugo…

6. Asifiwe Mungu baba Bwana nasana

3. Kwa vyote tunavyo vitawala… Vionekanavyo kwetu sisi…

TWIMBE TUMSHUKURU BWANA

4. Shukwani na shangwe kwako bwana… Tusifu wote milele amen…

mufarij

R/Twimbe tumshukuru Bwana aleluya tumwimbie kwa sababau ndiye mwema aleluya wema wake ni wamilele. 1. Aliye umba mbingu na Dunia: tumshukueru.

NI WAKATI WA SISI

Vitu vyote vimeumbwa naye:…..

R/ Ni wakati wa sisi wakristu uu, twimbwe wote shangwe owe, twimbe wote shangwe owe.

Shukuruni Mungu wa miungu:….

1. Soprano simameni wote aa tunasimama 2. Alto………………………………… … 3. Tenor……………………………… ….. 4. Wa Kristu……………………………...

2. Ni piya Yesu kristu mkombozi:… Alikufa kwa ajili yetu :….. Akabeba zambi zetu zote :…. 3. Na piya Mungu Roho mtakatifu :.. Yeye aliye msaidizi wetu :…. Yeye mwanga wa imani yetu :… 4. Mwimbieni Mungu enyi viumbe vyote :….

BWANA WETU ASIFIWE.

Ametenda mambo ya ajabu :….

R/Bwana wetu asifiwe x2 Asifiwe kwa milele amen.

Mwimbieni mbingu na dunia :…

1. Enyi watumishi wa Bwana lisifuni jina la Bwana. 2. Jina la Bwana liyukuzwe tangu sasa hata milele.

67 6. Asifiwe Mungu baba: amen

WOTE TUMSHUKURU BWANA 1. Wote tumshukuru Mungu : amen Wote tumtukuze Bwana: amen

Asifiwe Mungu mwana: amen Asifiwe Mungu Roho: amen Leo kesho na milele.

Kwa mema anayo tenda: amen

MUACHE NI NIMUIMBIYE BWANA

Yeye ndiye Mungu Wetu.

R/ Muache ni muimbiye Bwana kwani amenitendea makuu: muache ni muimbiye Bwana kwani ni mkubwa sana amanitendea mambo makubwa.

R/ Twimbe: twimbe na fura Twimbe na kicheko, tumpigie shangwe Bwana wa mabwana

Kwa mkono wake wa nguvu: amen

1. Alitupatiya vipaji: vipaji vya kumuimbia, vipaji vya kumuchezeya, vipaji mbalimbali vyatoka kwakee Bwana asifiwe.

Kwa mkono wake mtukufu: amen

2. Ndiye muumbaji wa vyote:

2. Ametenda maajabu: amen

Kweli kweli nita msifu. 3. Aleta wokovu kwetu: amen Kwa njia ya bwana wetu: amen Dunia ishangilie: amen Mbingu zipige kelele 4. Atupa chakula bora: amen Mwili damu ya mwanae: amen Ndiyo nguvu yetu sisi: amen Twimbe maajabu yake 5. Wema kwetu sisi: amen Haina mipaka kweli: amen Juwa mwezi nazo nyota: amen Vyaangaza bila pesa: amen

ndiye aliumba mbingu ndiye aliumba Dunia samaki za maji, ndege za angaaa, wanyama wapori Bwana asifiwe.

3. Asifiwe sana: asifiwe leo, asifiwe kesho asifiwe siku zote n milele na milele ,na milele ee Bwana asifiwe.

68

SORTIE NIKIPELEKA ENJILI R/ Furaha kubwa nikipeleka enjili, nikipeleka enjili kwa ndugu zangu u 1. Ukiitiwa (nenda) mbele ya Mungu (nenda) fika upesi shambani mwakee x2 2. Maisha yako (towa) kwa Mungu wako (towa) iwe sadaka kwa mungu wetu x2 3. Shukuru Mungu (amen) kwa kila jambo (amen) yeye mwenyewe atakulipaa x2 NENDENI KOTE R/Nendeni kote duniani, mukawaeleze viumbe vyote, habari njema habari ya wokovu. 1. Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache Bwana asema asema. 2. Basi ombeni Bwana wa mavuno atume watendakazi katika mavuno yake Bwana asema asema. RUDIENI MJINI R/Rudieni mjini mkawatafute mkawakutane rafiki zangu walio huko mukawaeleze furaha niliowapa leo

1. Nendeni popote mtamukuta mtu asiye nafasi ya kuweza kulala 2. Nendeni popote mtamukuta mtu asiye na baba wala na mama 3. Nendeni popote mtamukuta mtu labda tangu juzi hajapata chakula 4. Nendeni popote mtamukuta

mtu anateswa mambo ya dunia.

sana

na

TUNARUDIA KWETU R/ Tunarudia kwetu, tunarudi na furaha, amani ya Bwana iwe pamoja na sisi, 1. Tutatangaza aneno hilo neno la Bwana wetu ndiyo uzima wetu. 2. Aleluya aleluya aleluya musiogope Yesu yupo nasi. 3. Bwana awe nanyi awe pia nawe, awabarikie Mungu Baba Mwana Pia na Roho.

BWANA ANAWATUMA WAWILI WAWILI 1. Bwana anawatuma wawili wawili katika muji na kila mahali ee Bwana x2 R/Aleluya unitume

x3

Bwana

2. Kristu anawatuma wafuasi wake katika muji na kila mahali eeKristu

69

3. Roho anawatuma waongozi katika muji na kila mahali ee Roho.

1. Ameangalia udogo wangu, vizazi vyote vitamtukuza. Amenitendea maajabu amenitendea mambo mengi yeye ni mtakatifu. 2. Wema

wake umepelelezwa kwa wale wote wenyi kumuheshimu kwa nguvu yake ametawanya wenyo kujivuna.

MARIE TUMSIFU MARIA 1. Tumsifu Maria enyi wanawe, tutowe salamu tumshangilie R/ Salam x3 Maria, Salam x3 Maria. 2. Nyota ya bahari mlango wa mbingu, mwondowa hatari mma wa Mungu

3. Amewashusha wakubwa chini

amewapandisha watu wapole, wenyi njaa amewapa mali, wenyi mali amewarudisha mikono mitupu. 4. Akikumbuka huruma yake akaisaidia Israeli alivyo mwambia Ibrahimu amemuaganisha Ibrahimu na uzao wake. EE BIKIRA MAMA WA MUNGU

3. Maria bikira nddiwe mteule, umeshangiliwa tangu milele.

1. Ee Bikira mama wa Mungu sisi wanao twakulilia x2

4. Hakuna mwombezi aombeyae, kwa kristu mwokozi kuliko wewe

R/ Ee mama utuombee kwa Yesu, ee mama usafi wa mwili na wa moyo x2

5. Mametu mbinguni tumshangilie, mwanawe mpenzi pamoja nawe.

2. Uwe nasi mama siku zote kwani muovu atuzunguka x2 3. Uwe jibu na musaada wetu ili Imani isipotee x2

MAGNIFICAT

Twalia mbele yako waana wa dunia x2

R/ SUP-TEN: Moyo wangu sifuni bwana na Roho yangu imtukuze

UTAZAME DUNIA

ALTO-BASSE: MOyo msifuni bwan, Roho yangu imtukuze.

R/Utazame waana wako wa dunia we mama Maria, waana

WANA

mama WAKO

sisi WA

70

wako wa dunia hii wanakulilia we mama Maria. 1. Sala zetu hazifai kwa huruma na mapendo yako malkia we mama Maria 2. Mama mwombezi wetu malkia, Bikira wa rozario tunakulilia, we mama Maria 3. Tunda la Roho mlango wa mbingu, Bikira wa rozario tuna kulilia we mama Maria 4. Mama Maraia utuombee kwa mtoto wako Yesu alikuitikia we Mama Maria. NJOO KWANGU MARIA 1. Njoo kwangu mama Maria mwema Uniongoze njia ya kwenda mbinguni kwa baba nikaishi milele x2 R/ Njoo Maria njo Maria uniongoze x2

kwangu

2. Njoo unijaze neema ya kushinda maovu nifuate njia njema ya kufika kwa Yesu x2 3. Njoo kwangu Mama Mara mwema unilinde mawana nidafiri pasipo mashaka safarini ya nguvu x2 NJONI KWANGU MIMI MALKIA WA MBINGU R/Njooni kwangu mimi malkia wa mbingu, njooni kwangu mutapata utulivu. Heri yao waliosali Rozario hei wenyi kumkimbilia Maria.

1. Mama Maria usitusahau, sisi wenyi zambi tunamukosea Mungu 2. Mama Maria usitusahau sisi matajiri, tuna watesa maskini. 3. Mama Maria usitusahau sisi wa askari tuna wanyanyasa watu. MILELE BABA R/Milele Baba amemtayarisha Mama asiye na zambi, kwa neema yake Mungu baba akazaliwa Bikira. 1. Ajabu kubwa ikatokeya mbinguni: sifa yake itangazwe. Mwanamke jua:……

mwema

akivaa

Amechapwa mwezi miguuni pake:…

2. Uso wake waangaa kama jua:

……… Vazi lake leupe kama zeluji: ……….. Kichwani taji la nyota kumi na mbili : 3. Tazama

Bikira mwana :……. Atamwita jina Emmanueli :…….. Makabila yote mbwarikiwa :…

MUSALI ROZARIO

atamzaa lake yatamtaja

71 1. Enyi waana wangu uu mbona

hamukunisikia, nimewaeleza mbele namna ingefaa kutenda nimesema musali ili mungu asaidie nyinyi hamukusali sasa mumesumbuka. R/ Musali sana Rozario, nasema musali sana, mimi nitawaombeya, mimi ni mama yenu nataka muishi vema musichoke na sala. 2. Maisha

munayo

nyinyi, imejaamo wasiwasi, mwaogopa kila kitu njaa kiu na hasa vita, nawaleteya dawa ili musiogope tena, musali bila kucho Yesu atawajibu.

SALAMU NYOTA R/ Salamu Mama wa Yesu, salamu Mama wa watu ; Mama utupokee tunakuja kuomba amani. 1. Salamu

nyota ya mbingu, Maria mama wa Mungu, Maria Bikira mpole, umetufungulia mbingu.

2. Peleka Maombi yetu kwa Yesu mkombozi wetu kwa kufika duniani amejifanya mwana wako. 3. Takasa maisha yetu njiani utuongoze na tutamuona Yesu kwa furaha inayo dumu.

R/ umepanda mama mbinguni, umenyakuliwa mzima /umezungukwa na utukufu mbinguni/x2 1. Mama maria mama bila zambi : utuombee kwa Mungu Mama mtukufu Mama wa mwokozi : 2. Mama maria mama bila taka :…… Mama mtukufu bikira milele :…….. 3. Mama maria nyota ya mbinguni :… Umestahili kumzaa mkombozi :…... 4. Ee Mama mwema utuangazie :……. Kwa mfano wako tufanane nawe :… 5. Utuongoze kwa mapendo yako:… Siku ya mwisho tufike mbinguni:... 6. Mama Maria mama wa Kibeho:… Mama maria mama wa Rwanda mzima:…... NIPO WOTE WAKO R/ Nipo wote wako ee Maria, na vyote ninavyo ni vyako. 1. Ninakutolea macho yangu, ili nipate kuona kunacko mashimo. 2. Ninakutolea midomo yangu nitamke maneno yenyi kufaa.

ili

3. Ninakutolea miguu yangu niwasaidie walio maskini.

ili

4. Ninakutolea miguu yangu iki neende popote nieleze enjili. 5. Ninakutolea maisha yangu ili niishi milele na mwanao Yesu.

UMEPANDA MAMA

EE MOYO WANGU

72

R/Ee moyo wangu (x3) unamsifu, unamsifu Bwana, ee moyo wangu unamsifu Bwana (x2). 1. Roho yangu inafurahiwa na Mungu wangu, Jina lake takatifu ee moyo wangu. Amenikumbuka oh mimi mutumishi wake Tangu sasa vizazi vyote wataniita mwenyi heri ee moyo wangu; Amawasambaza wale wote wanaojivuna katika nyoyo zao ee moyo wangu. 2. Amewashusha wenyi cheo katika viti vyao amewapandisha wadogo ee moyo wangu Amewashibisha wenyi njaa na vitu vyema, na wenyi njaa amewaondosha mikono mitupu ee moyo wangu. 3. Amesaidia mtumishi wake Israeli, na wenyi mali amewaondosha mikono mitupu: ee moyo wangu. 4. Bwana wa maajabu: amenitendea makuu x2. Bwana yu ni mwema:………x2 Bwana wa huruma:………..x2 Bwana wa mapendo:………x2 Mapendo Gani:…………....x2

Njoo mataifa wakuone, mwokozi njoo.

njoo

1. Bwana Mungu wa majeshi urudi mbio: njoo mwokozi njoo. 2. Utazame toka mzabibu wako:…

mbingu

3. Mkono wako uwe juu ya watu wote:… 4. Ujulishe jina lako na tutaishi: ……. 5. Utangaze utuokowe:….

uso

wako

NJOO MASIYA R/ Njoo njoo njoo njoo njoo, njoo njoo njoo Masiya 1. Tunakungoja siku nyingi shuka kwetu usikawiye tena ufike mbiyo. 2. Mungu ametuahidia: shuka kwetu usikawiye tena ufike mbiyo 3. Tunateseka

bila

wewe:

………………. 4. Utuleteye

mwanga

wako:

…………….. 5. Tupo

gizani ………………

siku

nyingi:

KESHENI KESHENI

AVENT

R/ Kesheni kesheni x2 Bwana atakuja Basi kwa maana hatujui siku gani bwana atakuja.

NJOO MATAIFA WAKUONE

73

1. Siku ile ya mwisho hakuna ajuwae wamalaika hawajui, hata mwana hajui ila Baba peke yake

UTUSHUKIYE MASIYA WETU

2. Mfano ni kama mutu aliye aliye ondoka akaenda safari akaacha yote mikononi mwa watumishi

1. Utushukiye Masiya wetu, sisi wote tunakungojea mkombozi masiya njoo njoo.

3. Nitarudi lini labda mangaribi ao usiku kati awikapo jogoo ufahamu uwe macho

R/ Tuishi na tungojee, matumaini kwa Bwana, tusafishe nyoyo zeyu azaliwe ndani mwetu

YESU UJE R/ Yesu uje uje x3 kwetu, uje kwetu mfalme tena duniani Yesu uje uje kwetu x2 1. Mapendoo imepotea duniani tunatumaini urudie kwetu uje kwetu mfalme tena wa mapendo Yesu uje uje kwetu. 2. Ukweli umepotea duniani, tunatamani urudie kwetu uje kwetu mfalme tena wa ukweli Yesu uje 3. Huruma imepotea duniani tunatumaini urudie kwetu uje kwetu mfalme tena wa amani, Yesu uje kwetu, 4. Amani imepotea duniani tunatamani urudie kwetu uje kwetu mfalme tena wa amani, Yesu uje uje kwetu 5. Zambi zimetawala duniani tunatamani urudie kwetu uje kwetu mfalme tena duniani, Yesu uje uje kwetu.

2. Shuka kwetu na usikawiye twapotea tuopowe bwana mkombozi masiya njoo njoo 3. Ni kifano chake Mungu wetu, si zaifu Roho yatamani ya uwingu masiya njoo njoo 4. Usiwe tena usio wako mkali, angalia hii yetu hali, shetani atuwinda njoo njoo. USHAHIDI WAKE YOANE 1. UShahidi wa Yoane kule jangwani alishuhudia ujio wake Masiya yeye ni Mungu na tena Mwana wa Mungu x2 R/ Uje Masiya mwokozi tunakungoja uje Masiya mkombozi tunakungoja. 2. Nabii Yoane janguani alishuhudiya yule atakuja mukubwa kuliko mimi ufalme wake hautakuwa na mwisho x2 ONGOKENI MOYONI MWENU R/ Ongokeni mukabatizwe

moyoni mwenu mukafanye

74

kitubiotengezeni njia ya Bwana linganisheni mapito yake x2 1. Yoane nabiee wa mwisho wa manabii Mungu amempa ujumbe wa kumtangulia mwokozi 2. Nyuma yangu kutakuja ni kristu masiya sistahili kufungua ukanda wa viatu vyake 3. Nimewabatiza kwa maji ya yordani yeye atawapa ubatizo wa Roho mtakatifu. 4. Manabii wengi wamesema ongokeni nasi leo tutakatishe nyoyo tumpokee mwokozi. FURAHINI KATIKA BWANA R/Furahini katika Bwana siku zote nasema tena furahini x2 1. Upole wenu ujulikane kawa watu Bwana yu karibu x2 2. Na amani ya Mungu yapita ufahamu utalinda nyoyo x2 3. Bwana yu karibu musi hangayike katika neno x2 MIMI NI SAUTI YA MTU 1. Mimi ni sauti ya mtu aliaye jangwani tengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake vile alisema nabii Isaya. R/ Masiya wetu atazaliwa katika muji wa Daudi Emmanueli. Mwokozi…………………… Mfalme…………………… ……

Mu Betlehemu…………… 2. Makohani walituma kwa Yoane ili wamuulize wewe ni nabii wala Elia tukawaambie waliyo tutuma 3. Na Yoane akawajibu, mimi nawabatiza kwa njia ya maji yule atakaye kuja nyuma yangu yeye atawabatiza kwa njia ya Roho. USHUKIYE MASIYA R/ Ushukiye Masiya kuokowa watumwao, mukombozi masiya njoo, njoo, njoo. 1. Shuka kwetu usikawiye twapoteya (u)tuopowe hima hima ushukiye, kwani nguvu hatuna tusiweze kwa mregeo basi wewe tuponye, njoo, njoo, njoo. 2. Tangu zambi ya wazee twakungoja tuopowe kwetu hapa ushukie kwani nguvu hatuna hatuwezi kwa mregeo shuka kwetu tuponye, njoo, njoo, njoo. 3. Ni kifano chake Mungu wetu si zaifu Roho yangu yatamani ya uwingu tumefungwa lakini yamepigwa makatao tusiingiye ndani, njoo njoo, njoo. 4. Siwe tena uso mkali angalia yetu hali tuelekee sasa kweli mashetani huwaka vita uzito tuna leo ulimwengu shuka njoo, njoo, njoo.

75

SASA HII KUAMKA

NI

WAKATI

WA

R/ Sasa hii ni saa ya kuamka katika usingizi wetu wa dunia x2

sur notre terre, vienne la paix éternelle, 1-4 : Vienne ton royaume Seigneur, vienne ton amour.

1. Maana wokovu wetu umefika kuliko wakati tulipo amaini 2. Usiku umeendelea sana mchana nao sass ni karibu 3. Katika mchana twende vizuri, kwa ajili ya Mungu na ya Jirani 4. Tuvae Bwana Yesu Kristu natufikiri mahitaji ya mwili. LE JOUR EST PROCHE R/ Veilleurs où en est la nuit ? Veilleur où en est la nuit, la nuit s’avance le jour est proche, revenons vers le seigneur, le matin vient et encore la nuit ; marchons en enfants de la lumière. 1. Vienne le jour où nos ténèbre rencontreront ta lumière, Vienne le jour où toutes larmes rencontreront ton sourire. 2. Vienne le jour où l’espérance rencontrera ton étoile, vienne le jour où notre route rencontrera ta demeure. 3. Vienne le jour où ta tendresse, remplira toute la terre, vienne le jour où ton Eglise rencontrera ton royaume. 4. Vienne le jour où tous les hommes s’aimeront tous comme frères, vienne jour-là

NOEL NJOONI WAKRITU SHANGWE

TUFANYE

1. Njooni wakristu tufanye shangwe mwokozi Yesu amezaliwa, Viumbe vyote shangwe:……

tufanye

R/ Na tufanye shangwe, twimbe aleluya, mwokozi yetu amezaliwa. 2. Hakika mbingu zashangilia: mwokozi Yesu amezaliwa Nayo Dunia shangwe:……… 3. Juu

mbinguni ……………. Viumbe vyote ……………

yafanya

na

duniani:

vinafurahi:

76 4. Hii

ni siku …………………

aliyo

fanya:

YESU KRISTU AMEN

Tufurahiwe na tumwimbiye : …… 5. Tufanye

shangwe nyimbo nzuri :……

6.

Tusifu Bwana tumwimbiye:……..

kwa na

7. Mwenyi ukuu na utukufu:….

…………. Ni mfalme vyote:……

Gloria Gloria in excelsis deo x2

Bwanana vitu

SAA YA USIKU KATI 1. Saa ya usiku kati kulikuwa na

kimya, wachungaji wa kondoo walikuwa wamekesha malaika toka juu mbinguni, walikuwa wakiimba sifa za Mungu. 2. Wachunga msiogope, mwende huko pangoni Mungu mwana yupo nasi, wachungaji wa kondoo usiku walikwenda kumwangaliya bwana Yesu 3. Tangu maelfu miaka, nabii

wali muaguwa, sasa leo amefika twende wote kumwabudu, wamajusi toka kule mashariki walifika kumwabudu mwana wa Mungu. 4. Ndiye Emmanueli Mungu pamoja nasi, ni masiya Mukombozi Emmanueli Mungu nasi, Malaika toka juu mbinguni, walishuka wakiimba sifa za Mungu.

R/ Yesu Kristu amen x3 Njooni wote tumshangilie amezaliwa mwokozi wetu, njooni wote tumushangilie amezaliwa. 1. Siku ya leo amen, amezaliwa amen, na amani na mapendo aleluya. 2. Siku ya leo amen, wachungaji amen, na majusi wamwangaliya Betlehemu. 3. Na sisi wote amen, wa dunia amen, tufurahiwe na mwokozi aleluya. 4. Sifa kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho mutakatifu aleluya.

SASA LATIMIYA R/ Sasa latimiya: sasa latimiya agano alilosema tangu kale sasa la timiya x2 1. Usiku kati nasikiya sauti tamu mbali sana malaika waja wote makiimba sasa la timia 2. Wachunga mulio bondeni njooni wote kwa haraka, kitoto maskini chalazwa nyasini sasa latimia 3. Maria akimfunika akimchungulia

Yosefu kwa

77

mshangao wote wakiimba sasa latimia

wote

mwenyi kuimbiwa ni nani juu ya nani sifa hizo.

4. Wa kwanza nani kumwabudu majusi walitoka mbali alama ya nyota iki watangulia sasa latimia

3. Je hamjui jambo kuu la kuzaliwa mwokozi habari ya wimbo huu ndiyo kumshukuru mwenyezi.

5. Herode mfalme wamayahudi

4. Kweli nasi twende hima kufika kule alipo tuone mtoto na mama, tuwasalimie huko.

akatafuta roho yake misri akaenda mama akimlinda sasa latimia. AMEZALIWA BWANA R/ AMezaliwa amezaliwa leo, tumshangilie.

Bwana, amezaliwa

1. Leo mbingu ni furaha kwa kuzaliwa mwokozi amezaliwa tumshangilie. 2. Malaika wafurahi wakiimba nyimbo nzuri kwa kuzaliwa mwokozi wetu. 3. Wamajusi walikwenda wakifwata nyota kubwa, kumwangalia mwokozi Yesu. 4. Sifa kwa Mungu mbinguni na amani duniani, kwa watu wote anao wapenda.

MBALI KULE NASIKIA 1. Mbali kule nasikiya malaika wa mbinguni wakiimba wengi pia wimbo huu juu angani. R/ Gloria in excelsis deo x2 2. Wachungaji sababu ya

twambieni nyimbo hizo,

JE MALAIKA GANI

NYINYI

HABARI

1. Je malaika nyinyi habari gani twawaomba mutujulishe nasi hizo kengele zinazo pigwa pigwa, hizo ni kwa ajili ya nini. R/ (Kwa sababu) kwa sababu leo amezaliwa kwetu katika muji wa Daudi, (na mwokozi) na mwokozi ndiye Kristu bwana na hiyo ni alama kwetu. 2. Amefungwa nguo za kitoto, amalezwa katika sanduku za kuwalishia wanyama, nyuma yake ni mama maria 3. Twende twende zet wachungaji tukaone neno lililo fanyika kama malaika alivyo tuambia, twende wote nasi nkwa bidii. 4. Salamu salamu Maria, salamu salamu Yosefu amani amani iwe nanyi iwe nanyi iwe nasi pia. SALAMU SALAMU

78

R/ Salamu salamu x2 Bwana Yesu ndiye Mungu na mwana wa Maria. 1. Malaika akaleta noeli ya kwanza kwa wachunga wa kondoo katika mabonde x2 2. Betlehemu wakawa walinzi wa zamu wakaona usiku ajabu ya nuru x2 3. Mashariki wakatokea wa falme watatu majusi wakifuata Yesu Mufalme x2 4. Wakafuata hii nyota iliyo waleta hata muji wa Daudi nalimo zaliwa x2 5. Na sisi wa kristu tumshuhudie, na sisi wakristu tumshangilie mwokozi aliye tujia x2 FURAHA FURAHA AMEZALIWA R/ Furaha furaha amezakiwa mkombozi wa dunia x2 1. Ee Maryamu bikira: twimbe aleluya Umemzaa ………………….. Tufurahiwe ……………………….

Tumpigie ……………………….

magoti:

Maana yeye ………………

Mungu:

ni

4. Tumwimbie ………………

mwokozi:

Kikao cha …………………….

hekima:

Kionyesho cha ………………… 5. Sifa kwa …………….. Pia kwa ………….

haki:

Mungu Mungu

Pia Roho …………………

Baba: Mwana:

mtakatifu:

Milele na ………………………

milele:

AMEZALIWA TUMEMUONA R/ Amezaliwa x2 tumemuona x2 Tumwimbiye hozana mwana wa Mungu.

mwanako:

1. Ilikuwa siku x2 za mufalme herode x2 kazaliwa mwokozi

nawe:

2. Tazama wafalme x2 walikuja kumwabudu x2 Yesu mwana wa Mungu

2. Njooni tumshangilie: …………………..

3. Wamemtolea

x2 zahabu manemane x2 ubani ubani.

Mfalme wa ………………………

amani:

KWETU NI NOELI

Anaye kuja ……………………..

kwetu:

R/Kwetu ni noeli Bwana, Bwana amezaliwa x2 aleluya, aleluya Yesu amezaliwa x2

3. Njooni …………………..

tumwabudu:

79

1. Tumepewa mwana ume x2

sisi

mtoto

Shangwe ikawashukiya amezaliwa x2

Ataitwa jina lake Emmanueli x2

2. Wamajusi waliambiwa habari njema kwani kristu amezaliwa mfalme wetu x2

2. Tumeona leo Yesu amezaliwa x2 Na uwezo wa kifalme mabegani mwake x2

3. Wa kristu tumutolee mfalme wetu, tumtolee nyimbo na saa mfalme wetu x2

3. Tumeupokea ujio wa Yesu x2 Maongeo ya enzi yake haina mipaka x2 4. Shangwe na Furaha duniani kote x2 Bwana Yesu aleluya x2.

azaliwa

leo

NYOTA ILE NAONA Utangulizi: Nyota nami ile naona x2

ile

naona:

Inaonekana kule mashariki yaonyesha kwamba mwokozi amezaliwa x2 kuzaliwa aleluya.

Noeli : aa Noeli ni kwa mwokozi

1. Tumempata mukombozi Yesu Masiya, tazama amezaliwa kwa ajili yetu x2 R/ Hata walifurahi

wamajusi

waliona nyota wakaifuata Waliona wakaingia Wakamtolea nyingi

nyumba zawadi

USIKU ULE WACHUNGA R/ Usiku ule wachunga x2 walikesha shambani shambani ndugu Yesu amezaliwa Betlehemu 1. Walingoja mukombozi x2 mara nyingi walimwomba Mungu Baba amlete upesi (mara nyingi) 2. Walikuwa wakisema x2 habari za mkombozi wasijue kama amezaliwa x2 (habari).

80

2. Par la Croix du bien-aimé fleuve de paix où s’abreuve toute vie, Par le corps de Jésus christ hurlant nos peurs dans la nuit des hôpitaux, Sur les hommes que tu fis pour qu’ils soient beaux et nous parlent de ton nom. 3. Par la Croix du serviteur, porche royal où s’avancent les pécheurs Par le corps de Jésus Christ nu outragé sous les rires des bourreaux Sur les foules sans bergers et sans espoir qui ne vont qu’à perdre cœur

CAREME FAIS PARAITRE TON JOUR R/ Fais paraitre ton jour et le temps de ta grâce, fais paraitre ton jour que l’homme soit sauvé. 1. Par la croix du Fils de Dieu

signe levé qui ressemble les nations, par le corps de Jésus Christ dans nos prisons innocent et torturé sur les terres désolées terre d’exile sans printemps sans amandiers.

4. Par la Croix de l’homme Dieu arbre béni où s’abritent les oiseaux Par le corps de Jésus Christ recrucifié dans nos cœurs sans pardon Sur les peuples de la nuit et du brouillard que la haine a décimés. 5. Par la Croix du vrai pasteur

alléluia désarmé

ou

l’enfer

est

Par le corps de Jésus Christ alléluia qui appelle avec nos voix SEUL REFUGE 1. Seul refuge de mon âme, je

vais m’appuyer sur toi, la

81

paix que mon cœur réclame est à tes pieds divin roi.

3. Mule kwa Pilato: Akatiwa miiba na kupigwa mijeledi

R/Jésus sauveur que je t’aime, O toi qui mourus pour moi et qui veut que dans le ciel même qu’un jour je règne avec toi.

Wakamvalisha vazi: la zambarao na kusema jambo mufalme

2. Sur ta croix victime sainte

mon péché fut expié, plus d’angoisse, plus de crainte, ton sang m’a purifie. 3. Il n’est aucune autre chose qui puisse apaiser mon cœur, en toi seul je me repose, en toi mon puissant sauveur. 4. A toi Jésus je m’abandonne,

mon cœur, mon âme et mes jours qu’en moi mon amour rayonne je veux te servir toujours. KULE GOLGOTA 1. Kule Golgota : ametundikwa mwokozi musalabani Alipokamatwa : wanafunzi wake wakaenda mbali mbali Huruma: Huruma gani ya Bwana kutufia sisi wenyi zambi x2 2. Petero njiani: kamwambia Yesu mimi sitakuacha kamwe Yesu akamwambia: bado kidogo na utasema haukuwa nami Petero: Petero yu mlangoni alimukana bwana Yesu Mimi: Mimi huyu simujui wala sikukuwa pamoja naye

Alipo: alipo teswa mwokozi ni kwa ajili ya wewe nami Ee ndugu: Ee ndugu kumbuka leo kama ungali katika giza.

MKOMBOZI UMETUTESEKEA R/Mukombozi Yesu mwana Mungu, mukombozi ametutesekeya sana mu mateso yako umesulubiwa Yesu aliteswa tu kabisa. 1. Yesu mukombozi mfalme wetu umekuja kutupa wokovu minyororo ya miiba imepangwa kichwani Yesu uliteswa tu kabisa 2. Wamekutukana na kukutemeya mate wanekuvika kofua ya miiba minyororo ya miiba imepangwa kichwani Yesu uliteswa tu kabisa 3. Yesu mukombozi tunakuabudu tunakuona juu ya musalaba twatazama uso wako ulio fifia Yesu uliteswa tuu kabisa. MUNGU WANGU YOYO R/ Munyu wangu Mungu wangu yoyo

82

Mungu wangu umeniacha

kwa

nini

1. Waliponijia mimi maakida wa hekalu yoyo, wanitegeya nyavu njiani mwao 2. Umejisama ni Mungu kweli we umekufuru yoyo, kwa neno hilo ungelistahili kufa 3. Umewaponya wagonjwa na wafu umefufuwa yoyo ujiponyeshe kama u mwana wa Mungu 4. Wamegawa nguo zangu kati yao wenyewe yoyo, na kanzu yangu wameipigia kura 5. Ewe Bwana Mungu wangu usikae mbali nami yoyo uje mbio unisaidie. NA UCHUNGU AKASIMA R/ Nuchungu (a)kasimama mama yake pa msalaba pa msalaba akiteswa mwanae ee akiteswa mwanae. 1. Sawa na upanga mkali teso kubwa lika mshika likimpenya moyo oo likimpenya moyo oo. 2. Ee Maria teso gani kumtazama msalabani mwana wake wa pekee ee mwana wako wa pekee 3. Lia Mama ee machozi ukimwona mtoto wako akiteswa sana mno oo akiteswa sana mno. 4. Tusikose

kumlilia kwani mama asumbuka na achungu

kubwa mno uu na chungu kubwa mno

BWANA ANAKUJA NA HURUMA R/Bwana anakuja na huruma bondeni mwa gestemani, moyo wa uchungu na mateso Yesu aliyetujia. 1. Siku ya Inne mangaribi, Yesu akakamatwa bure; akapelekwa hukumuni wenyi zambi wamuuwe Mungu 2. Yuda mtowaji na kundi la watu, wenyi moto upanga na fimbo; waliotumwa na makohani Yesu asfe ndio ukomo 3. Yesu akabeba musalaba mu njia ya makokoto mulimo mawe na mashimo taji la miiba kichwani. 4. Walipo fika Yerusalemu kundi la wanawake wakamulilia akawambia musinililie, mujililie nyinyi wenyewe.

83

DIMANCHE RAMEAUX

DES

BWANA YESU ALIPO INGIYA 1. Bwana Yesu alipo ingia katika mji mtakatifu waisraeli walitangaza ufufuo wa uzima hozana R/Hozana, hozana, hozana juu mbinguni Hozana, hozana, hozana juu mbinguni Hozana, hozana, hozana juu mbinguni 2. Bwana alipoingiya katika mji mtakatifu, waisraeli walichukuwa matawi ya mitende hozana 3. Bwana alipo ingiya katika mji mtakatifu, watu walitoka nje na kumshangiliya na matawi. HOZANA MWANA WA DAUDI R/ Hozana mwana wa Daudi x2 Hozana Yesu anakuja kwa jina la Bwana. 1. Tumtolee matawi, tumtolee na shangwe mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni 2. Tumtolee tuvitandike apite juu mbinguni

vitenge, njiani mfalme hozana juu

3. Tupige tumwimbimbie

vigelegele, sifa kuu

84

mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni 4. Abarikiwe anaye kuja kwa jina la Mungu, mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni 5. Asifiwe mwokozi anaye maneno ya kweli mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni 6. Ndiye

atakaye okowa na kutawala mataifa, mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni

7. Ndiye Baba alituahidiya na manabii wakanena, mfalme wa Israeli hozana juu mbinguni. WOTE TUMSHANGILIENI R/ Wote tumshangilieni tuimbeni hozana, hozana mwana wa dauni hozana asifiwe. 1. Sifa na heshima kubwa kwa mfalme mkombozi kwa mapendo twakuimbia wimbo wa hozana. 2. Ee mfalme wa Israeli mwana wa Daudi ndiwe umebarikiwa kwa jina la Bwana. 3. Malaika wa mbinguni wote wakuimbia na sisi tunakuja kwako nyimbo na sala zetu. 4. Tunakutolea heshima kwa kutukomboa mbele ya kufa kwako kwa kufufuka kwako. KRISTU MBINGU

NI

MUFALME

WA

R/Kristu ni mfalme wa mbingu, njoni tumshangiliye

1. Yeye ndiye mungu kutoka kwa Mungu, kweli astahili sifa. 2. Yeye Kwake uwezo na utukufu, kweli astahili sifa 3. Yeye ndiye mfalme mkuu wa wafalme, kweli astahili sifa

PAQUES AMEFUFUKA YESU MNAZARETI R/Amefufuka amefufuka Yesu mnazareti x2 1. Akajionyesha (kwa) mamae Maria akawaambia akawaambia ndugu zake Simoni Petro. 2. Akawatokea wafuasi (wake) hao pia ni mashahidi wa jambo hilo 3. Amawatokeya wafuasi wa Emaus akawaambia amani kwenu mumeniona. WOTE KWA FURAHA R/ Wote kwa furaha tuna kula paska paska yetu leo twimbwe aleluya. 1. Bwana aleluya

kafufuka:

twimbe

Kifo kakivuka: ……………………………. 2. Kafufuka …………………………..

kweli:

Kaburi ni wazi: ……………………………..

85

3. Adui kashindwa: …………………………. Kichwani ………………………..

kapitwa:

4. Siku ya sherehe: ………………………… Yesu ……………………

tumpokee:

5. Wa mbingu ………………

malaika: kilio:

la

mwokozi: majonzi:

7. Leo bila mwisho:………………. Vile vile kesho:………………….

Mzima aleluya

kristu

kashinda

wetu mauti

Zangaa kama zeruji aleluya 4. Asubui magdalena aleluya

R/ Aleluya x3 Kristu amefufuka 1. Leo

ni siku kuu Mungu kwa furaha

imbieni

2. Wokovu watimia shangwe na heshima viwe kwake 3. Malaika wasema hapa amefufuka

hayupo

4. Wana wake wasema kaburi limebaki wazi 5. Nendeni

pande zote mkawajulishe waana wa giza.

MBINGU INCI NA BAHARI na

5. Akalikuta ni wazi aleluya Ameketi malaika aleluya

6. Kweli bwana aleluya

yupo

mzima

Akanena malaika aleluya

ALELUYA PASKA YETU

inchi

2. Tumwimbiye aleluya

Kaburi kaenda hima aleluya

Acheni ………………….

1. Mbingu aleluya

R/ Aleluya aleluya , aleluya aleluya, aleluya aleluya

3. Sanda zake za mauti aleluya

Hakuna ……………………… 6. Shangwe …………..

Tuungane furahini aleluya

ALELUYA ALELUYA. R/Aleluya amefufuka

Aleluya,

Yesu

1. Maria Magdalena alienda kaburini asubui na mapema kuliko kukiwa bado giza akaona kama jiwe liwe limeondolewa. 2. Akapiga mbiyo kwa Petro kamwambia hiyo, wamewondowa kaburini wamempeleka wapi.

simoni habari Bwana hatujui

ALELUYA BWANA AMEFUFUKA bahari

1. Tumjongelee Yesu mtukufu: Aleluya Bwana amefufuka

86

Amefufuka katika wafu: Aleluya Bwana amefufuka R/ Utukufu wake wa milele, mbinguni juu pamoja na Baba 2. Mmeona

nini ……………….

kwaburini:

twasadiki Yesu amefufuka.

amefufuka,

MAYAHUDI WAMESEMA R/ Aleluya aleluya aleluya Aleluya aleluya aleluya

Wewe Magdalena na Salome: ……….

1. Mayahudi wamesema: kristu afe x2

3. Siku tatu kisha kufa kwake:

Kristu afe, kristu afe damu yake juu yetu

……………. Ametoka mzima kaburini:…. ………….

2. Pilato amesema: sioni kosa x2

4. Sasa anakufa kwa kutulisha:

Sioni kosa, sioni kosa kristu afe msalabani

…………. Mwili wake chakula cha roho: ………… 5. Tukila Mwili wake mtukufu:

…………… Tutapokea uzima ……………….

mupya:

3. Wahunga hushtuka: mshangao x2

kwa

Kwa mshangao, kwa mshangao wakahuzuriya kaburi 4. Maria magdalena salomex2

na

Nasalome na salome wakahuzuriya kaburi HABARI GANI WANDUGU 1. Habari gani wandugu wa Yerusalemu wanamake wamesema Yesu amefufuka, amefufuka. R/ Aleluya x20 2. Habari gani wandugu wa Yerusalemu (wa) na mitume wamesema Yesu amefufuka, amefufuka. 3. Habari gani Yerusalemu

wandugu wa sisi kweli

5. Malaika awambiya : afufuka x2 Afufuka afufuka hayumo tena kaburini 6. Milele na milele: amen x2 Amen amen amen amen amen amen amen amen

87

SAINT ESPRIT UJE ROHO MUUMBAJI R/ Uje Roho muumbaji utazame nyonyo zetu uzijaze neema nyingi ulizoziumba nyoyo. 1. Unaitwa mufariji paji la aliye juu, chemchem ya uzima moto pendo naza Roho pako 2. Wewe mwenyi paji saba, chanda cha kuume Mungu,

88

Kiagani we cha unazisemesha ndimi.

Baba,

3. Nia zetu angazia nyoyo zajaa na mapendo, mwili wetu muzaifu ukapate nguvu kwako. 4. Mbali ufukuze pepo na amani

upe mbio, hivyo uwe kiongozi tuepuke kila zambi. 5. Kwako tukamjuwe Baba tena tumtambuwe Mwana, nawe tunakusadiki Roho utakae kwao 6. Mungu Baba asifiwe Mwana aliye fufuka, nawe tena mfariji kwa milele na milele.

Aleluya x3 1. Unaitwa Mungu

mufariji:

Pendo moto utaini: Mungu shuka

Roho Roho

Ni kipaji cha mwenyezi pia uzima wa mbinguni. USHUKE ROHO YA BWANA R/Ewe Roho ushuke Roho ya Bwana ushuke tujazwe furaha 1. Roho kawashukiya

mtakatifu:

Kama ndimi za moto 2. Tufanye bidii : tumutafute Huyo Roho mutulizaji

3. Atukuzwe Mwana Atukuzwe Mwana Piya Roho mtakatifu.

SHUKA ROHO MTAKATIFU R/Shuka Roho mtakatifu Mungu Shuka

Roho

mtakatifu

Mungu Shuka ukae sana Rohoni mwetu

ROHO MTAKATIFU UTUSHUKIE R/ Roho mtakatifu utushukie tuongozwe nawe eee

bwana

1. Utushukie Roho wa mapendo utujaze sisi neema zako

Tuwe Imara kwa siku zote Bwana

2. Utushukie na uwashe moto wa mapendo yako ndani mwetu

Kwa siku zote ukazidishe imani yetu

89

3. Utushukie tuwe watumishi wa kuitangaza habari njema. ESPRIT DE DIEU R/ L’Esprit de Dieu repose sur moi, l’Esprit de Dieu m’a consacre, l’Esprit de Dieu m’a envoye proclamer la paix la joie.

donne la lumière à ce monde perdu. 1. Esprit de Dieu descends sur nous renouvelle la face de la terre. 2. Fortifie notre fragilité, Esprit de vie, Esprit

1. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour etendre le regne du Christ parmi les nations, pour proclamer la bone nouvelle à ses pauvres ; J’exulte de joie en Dieu mon sauveur. 2. L’Esprit de Dieu m’a choisi

pour etendre le regne du christ parmi les nations pour consloler les cœurs accables de souffrances :………… 3. L’Esprit de Dieu m’a choisi

pour pour le regne du christ parmi les nations pour acceuillir le pauvre la grace de la delivrance : ………………………………… 4. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour pour le regne du christ parmi les nations pour celebrer sa gloire parmi tous les peuples : ……………………………….

DESCENDS ESPRIT DE DIEU R/ Descends Esprit, descends Esprit de Dieu, Esprit de vérité,

MARIAGE

90

TON DIEU SERA MON DIEU R/ Ton D ieu sera mon Dieu, ta vie sera ma vie partout où tu iras, j’irai avec toi. 1. Heureux qui craint le Seigneur et qui marche sur la route du labeur de tes mains tu mangeras. Hereux es-tu en toi le bonheur. 2. Ton

Epouse sera dans ta maison comme une vigne féconde, les enfants alentour de ta table, comme des plants d’Olivier.

3. Voila comment sera beni celui qui craint le Seigneur tu verras les fils de tes fils tous les jours de ta vie. 4. Tu verras Jerusalem dans le bonheur, tous les jours de ta vie, de Sion le Seigneur te benisse, vienne la paix sur Israel. COMME UNE FIANCEE R/ Ton Dieu sera mon Dieu, ta vie sera ma vie partout où tu iras, j’irai avec toi. 5. Heureux qui craint le Seigneur et qui marche sur la route du labeur de tes mains tu mangeras. Heureux es-tu en toi le bonheur. 6. Ton

Epouse sera dans ta maison comme une vigne féconde, les enfants alentour de ta table, comme des plants d’Olivier.

7. Voila comment sera béni celui qui craint le Seigneur tu verras les fils de tes fils tous les jours de ta vie. 8. Tu verras Jérusalem dans le bonheur, tous les jours de ta vie, de Sion le Seigneur te bénisse, vienne la paix sur Israël. COMME UNE FIANCEE R/ Comme une fiancée parait pour son époux, tu resplendis de la gloire de Dieu oh alléluia alléluia tu surgis comme l’aurore. 1. Ecoute ma fille prête l’oreille,

le Roi désire ta beauté 2. C’est lui ton Seigneur rend-lui

tes hommages oublie peuple et ta maison.

ton

3. Vêtue de brocarts la Reine

est conduite auprès du Roi dans le palais. 4. Des Vierges la suivent lui font

cortège dans l’allégresse et dans la foi 5. Puisse-je

chanter ton nom d’âge en âge et tous les peuples te loueront.

6. Mon Cœur a frémi des belles paroles voici mon chant je l’offre au Roi. EE BWANA UWALINDE R/ Ee Bwana (u)walinde watunze ndowa hii daima, ee Bwana walinde wapate tuzo la milele.

91

1. Mbele ya kanisa lake Bwana mumeunganishwa ninyi pendo na amani ziwe kwenu ndoa itakate hima. 2. Mume umupende muke wako, liwe kubwa lako tuzo muke umutunze mume wako mbinguni (u)tatunukiwa. 3. Vita na ugomvi vijitenge omba radhi ukosapo choyo na anasa visiwepo mwanga wenu upendano. 4. Nyumba ya amani lengo lenu, kristu tegemeo lenu ndoa ni patano takatifu timilifu kwake Mungu. 5. Mungu awajaze neema zake mbarikiwe na watoto msiwapoteze waana wenu wote mali yake Mungu.

92

BAPTEME SISI WOTE TULIBATIZWA 1. Sisi wote tulibatizwa katika jina lake Yesu Kristu mwokozi, Ili tulizikwa na zambi neema (sababu ya ubatizo) ya ubatizo katika kufa. Basse: Hum hapana hata kidogo kwa kuwa na zambi tafazali kuishi na Yesu hum Kwa maana tumebatizwa na Baba na Mwana naye Roho mtakatifu. Tenor: Tusidumu tena katika zambi neema, neema yake uzidi nasi lazima, tutembee kwa jua La Babana la Mwana na la Roho mtakatifu amen. 2. Bwana Yesu alisulubiwa sababu mwili wa zambi uharibiwe na tena, Tusitumikiye tena zambi sababu alishinda kifo mpaka heri.

PA KISIMA CHA BETESTA. 1. Pa kisima kile cha betesta, cha betesta kulikuwa watu wengi sana na wagonjwa, (navipofu na wagonjwa wenyi kupooza) X2 R/ Baba Mama ndugu zangu sisi baba mama na nyi zangu sisi wote chetu cha uzima ni Yesu. X2

nanyi wote, ndugu kisima Bwana

2. Bwana Yesu katika kisima cha Yakobo Bwana Yesu katika kisima cya yakobo (alikuta mwanamke moja wa musamaria)x2 3. Bwana YEsu akamwomba maji nipe maji nipe maji yako ya kisima we mwanamuke ( nami nirakupa maji yangu ya uzima)x2 4. Walingoza malaika pale: walingoja malaika pale wale wagonjwa (ili waingiye kisimani akawaponye).

93

3. Nawe uliye kuwa mulevi Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti yake……. 4. We uliyekuwa musharati Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti……

CHANTS DIVERS

KWELI NITASIMAMA

BWANA YESU ANAKUITA WEWE

R/Ni Kweli Kweli nitasi nimwendee Baba anisamehe x2

1. Bwana Yesu anakuita wewe anataka umutumikie Sikia sauti yake umutumikie anakupenda x2 R/ Baba uache yote baba yooo Baba kuja kwa Yesu akupenda

1. Ona huzuni yangu, ona mateso yangu usamehezambi zangu, unihurumiye bwana. 2. Bwana nakuja kwako, bwana nakulilia unisikilize wewe nguzo ya maisha yangu.

Mama uache yote mama

3. Bwana ninainua nafsi yangu yote, naweka kwako ee Bwana tumaini langu lote.

Mama kuja kwa Yesu akupenda

4. Nitatangaza Bwana uaminifu wako, wema na ukweli wako vikanilinde daima.

yooo

Kaka uache yote kaka yooo Kaka kuja kwa Yesu akupenda Dada uache yote dada yooo Dada kuja kwa Yesu akupenda 2. Wewe uliyekuwa mulevi Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti………

NAPESI MOLIMO NANGAE NA NKOLO 1.

Napesi molimo na ngai na nkolo, mayele nangai na nkolo, bomoyi nyonso na nkolo

2. Naluki mayele ya mokili te, mayele ya bozui mpe te, mayele ya nkolo.

94

3. Nkolo nasengi yo belela ngai, lakisa ngai kotambola kati ya mpela mwinda mwayo.

Israeli ni iseme sasa ya kwamba fazili zake ni za milele. 1. Milango ya Aroni na iseme sasa ya kwamba fazili zake ni za milele. 2. Wa mchao Bwana na wa seme sasa ya kwamba fazili zake niza milele. ENYI WATU WA GALILEA

BWANA NI MWANGA WANGU R/ Bwana ni mwanga wangu na wokovu wangu nimwogope nani, nimwogope nani. 1. Bwana ni ukingo wa roho yangu ni mtetemekeye nani .

1. Enyi watu wa galilea mwatazama nini juu, Ginsi mulimwona Yesu kwenda vivyo hivyo atarudi. R/ YEsu amepanda juu kwa Babae kututayarishia fasi aleluya. 2. Sitawacha hata kidogo mpaka mwisho wa dunia aleluya 3. Roho atafika kuleta nguvu ya kufundisha neno aleluya.

2. Ee bwana usikie sauti yangu inayo kulilia, unihurumiye unisikilize

MUWE NA MOYO MITUME

3. Uso wangu unakutafuta, ninautafuta uso wako ee bwana.

R/ Muwe na moyo mitume wangu, ni nyinyi mutashinda dunia (mitume)

UMSIFU BWANA YERUSALEMU R/ UMsifu Bwana ee Yerusalem msifu bwana, sifu Mungu wako ee sayuni. Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema aleluya shukuruni Bwana aleluya shukuruni Bwana Kwa maana fazili zake aleluya ni za milele ni za milele.

1. Mimi sikuja kupendana duniani, juweni nyinyi pia mutachukiwa (mitume) 2. Vumilieni masumbuko yote ndio taji lenu nyinyi mwapewa (mitume) 3. Vumilieni sababu mwanifuata muwe na moyo nyinyi mutaishinda (mitume) KRISTU NI MFALME KWELI

95

1. Kwa michezo yetu na nyimbo nzuri tumsifu mwokozi wetu x2 R/ Kristu ni mfalme kweli, Kristu ni mufalme wa dunia x2 2. Wakubwa wadogo wote pamoja tumsifu mwokozi wetu x2 SIKU YA INNE TAKATIFU R/Nawapa amri mpya asema bwana Yesu, mpendane vile kama nilivyo wapenda ninyi wandugu x2 1. Siku ya ina takatifu bwana YEsu alitupa mfano wake 2. Yeye aliye Mungu wetu kasukuwa miguu ya mitume wake 3. Siku ya Inne taka tifu aliwagawiya mwili wake wale 4. Siku ya Inne takatifu aliwagawiya damu yake wanywe. TUPENDANE WOTE KWA IMANI 1. Tupendane wote kwa imani vile baba Mungu alisema tupendane R/ Mapendo tunda la Roho (la Roho) tuwe na imani 2. Ukisema unapenda Mungu na unachukia ndugu yako ni uongo 3. Kanisa letu la hapa Gikondo tupendane vile Bwana Yesu alitupenda.

AMANI KWENU 1. Amani kwenu vile baba alivyo nituma, na mimi sasa nawatuma nendeni mkafundishe. R/Pokea Roho wa Bwana Aleluya, aleluya pokeeni Roho mtakatifu x2 2. Alipo kwisha kusema hayo akawapulizia, akasema pokeeni Roho mtakatifu. 3. Wale mtakao ondolea ambi zitaondolewa, wale mtakao fungia zambi zitafungwa kwao. YESU KRISTU NI MFALME R/ Yesu kristu ni mfalme, ni mfalme wa wafalwe ni bwana wa mabwana utawala wake si wa dunia hii bali utawala wake ni wambinguni. 1. Utawala wake Kristu ungekuwa ni wa Dunia hii kweli hakika angekuwa na jeshi lake lakumlinda 2. Utawala wake Kristu ungekuwa ni wa dunia hii kweli hakika angekuwa na serekali ya kuiongoza 3. Utawala wake Kristu ungekuwa ni wa dunia hii kweli kamwe asingekufa kwa ajili yetu sisi wanaadamu. J’AI VU L’EAU VIVE 1. J’ai vu l’Eau vive jaillissant du cœur du Christ alleluia aa tous ceux que lave cette eau sront sauves ils chanteront.

96

R/Alleluia: alleluia alleuia, alleluia alleluia

4ème Voix : Maseso zambi zikatawala.

yakawapo,

2. J’ai vue la Source devenirt un fleuve imense alleluia aa les Fils des Dieu rassembles chantaient leur joie d’etre sauv es.

2ème Voix : Mungu Kwa Kutupenda sana akachaguwa taifa lake

3. J’ai vu le Temple desormais s’ouvrir à tous alleluia le Christ revient victorieux montrait la plaie de son cote

3ème Voix : Mungu kwa wema wake kawapa warisi inchi ya kanani

4. J’ai vu le Verbe nous donne la paix de Dieu alleluia, tous ceux qui croient en son nom seront sauves ils chanteront

HADISI YA WOKOVU

1ère Voix : Abraham, Isaka, Yakobo na Musa waliliongoza

1ère Voix : Israeli hakuona hayuo yote, akaabudu miungu mbalimbali, Mungu kaarifu watu wake, akatuma manabii wahubiri 4ème Voix : Hawakuwasikia, ubaya ukazidi 2ème Voix : Mungu kwa mapendo yake kamtuma Yesu ili tuokoke

1ère Voix: Zamani Mungu alikusudia kuviumba mbinguni na Dunia, nuri na giza ndipo vikawapo, jua mwezi nao nyota kaumbwa.

1ère Voix : Na watuy wakamtundika msalabani mpaka akafariki

4ème Voix: Milima na mabonde, maji na inchi kavu

1ère Voix : Yesu kawatuma mitume wake wapeleke habari njema popote akapanda mbinguni kwa Baba yake atarudi kuokowa watu wake

2ème Voix : Mimea yote ya porini na wanyama wote waliomo. 1ère Voix : Samaki majini na ndege anagani vyote vikawapo. 3ème : Mwisho akawaumba adamu na eva wazazi wetu R/ Kwa ajili ya hayo yote twimmbe wote na shangwe tuseme pamoja Mungu asifiwe 1ère Voix : Mungu akawapa Adamu na Ev a busatani nzuri yenyi raha kubwa, Shetani akamushawishi Eva,Nao wakakosea Mungu wao

3ème Voix : Lakini hakubaki kaburini akafufuka

4ème Voix : Akamtuma Roho nasi tukaangazwe. 2ème Voix : Nasi twakusanyika katika Eklezia moja ya mitume 1ère Voix : Eklezia yasema umpende jirani kama vile Yesu 3ème Voix : Tumani kwamba tutakuwa naye kujle mbioinguni B/ Aliye tuumba aaa Kamtuma mwanae eee

97

Kafa msalabani

BWANA KAMA WEWE

Tukafufuke naye

R/ Bwana kama ungehesabu maovu [nani angesimama x3 yako] x2

Tuseme pamoja : Mungu asifiwe BWANA YESU ANAKUITA WEWE 1. Bwana Yesu anakuita wewe anataka umutumikie Sikia sauti yake umutumikie anakupenda x2 R/ Baba uache yote baba yooo Baba kuja kwa Yesu akupenda Mama uache yote mama yooo Mama kuja kwa Yesu akupenda Kaka uache yote kaka yooo Kaka kuja kwa Yesu akupenda Dada uache yote dada yooo Dada kuja kwa Yesu akupenda 2. Wewe uliyekuwa mulevi Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti………

3. Nawe uliye kuwa mulevi Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti yake……. 4. We uliyekuwa musharati Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti…….

wewe yangu mbele

1. Lakini kwako tuna musamaha, ili wewe uogopwe nimemungoja bwana roho yangu na neno hilo nimelitumaini. 2. Nafsi yangu inamungoja Bwana kuliko walinzi, walinzi waingojavyovyo asubui nam walinzi wangojavyo asubui 3. Ee Bwana toka vilindini nimekulilia bwana sauti yangu usikiemasikio yako yasikiye duha yangu. EWE SIMONI PETRO 1. Ewe simoni petro mwana wa Yona juu yako nitajenga Eklezia yangu R/ Uzichunge kondoo zangu x3 na nitakuwa nawe x2 2. Ewe Simoni Petro mwana wa Yoza nimejuwa kweli wanipenda 3. Nimekupatiya funguo za ufalme na mbinguni vile vile na duniani 4. Kile utakacho kifunga hapa chini na mbinguni vilele kitafungwa 5. Nanyi vile vile maaskofu wa Eklezia Bwana Yesu amewaambia leo

98

6. Nanyi vile vile mapadri wa Eklezia Bwana Yesu amewaambia leo 7. Nanyi vile vile viongozi wa Eklezia Bwana Yeu amewaambia leo

3. Ikiwa

munahubiri ………………

vema,

4. Ikiwa

mali,

munagawanya ……………

5. Hata mukisema lugha zote,

……..…. EWE MUNGU WANGU R/ Ewe Mungu wangu x2 ninakutafuta uniokowe Roho yangu inaona kiu kwako, ndiwe bwana wangu na mungu wangu, kweli njoo x2 1. Roho yangu Bwana inakutamani, uje mbio bwana uniokowe, Roho yangu inaona kiu kwako ndiwe bwana wangu na mungu wangu kweli njoo. 2. Mwili wangu Bwana unakutamani sana, kama inchi kavu isiyo na maji, roho yangu inaona kiu kwako , ndiwe bwana wangu na mungu wangu kweli njoo. BWANA YESU AMETUAMURU 1. Bwana Yesu ametuamuru tuheshimiye mapendo R/Mapendo ya kweli hayaoni wivu, mapendo kamili yanavumili, (mapendo makubwa hayahesabu mabaya) x2 ae 2. Ikiwa munajitowa mufe, bila mapendi ni bure

MUNGU WANGU UNANIACHA

MBONA

R/ Mungu wangu mbona unaniacha (mimi), katika tabu zote hizi maisha yangu niya mashaka (kwani) sina Roho nimekosa amani matatizomengi yananisonga (sana) nakuomba Bwana (u)nisaidiye maadui zangu wananiwinda (kutwa) wamenitega ili wanilkamate, nimelala macho wazi mimi (kama ndege) kama ndege mkingwa ju ya anga nimekuwa lwama kundi mimi (fanya hima) fanya hima Bwana uniokowe. 1. Nimekuwa kama kichekesho kwa watu jamani ii mimi bwana kila nipitapo hunisema na kunicheka wamenizushia maneno ya uwongo jamani, mimi ee Bwana mimi nimekuwa kijalala la kila baya 2. Maadui zangu kutwa wanisimanga jamani ii mimi bwana wanatiya kiwani sonya na kunitusi, jina langu limekuwa gumuzo lao jamanii mimi ee BWana sasa ndilo walitumialo kwa kulniya

99

SIKU NITA MUONA (NShombo Marius)

MUNGU

R/ Siku Nyota ya asubui itangaa, siku nitajazwa na sifa yake bwana, siku machozi yangu yatakauka, Siku hiyo nitamwona Mungu wangu x2 1. Yesu Kristu uliye shinda kifo, moyo wangu unamtafuta Mungu mzima, siku hiyo nitaona sura yake 2. Yesu kristu, uliye shinda kifo, ni wewe furaha ya maisha yangu, katika njia ya mbingu nipeleke 3. Yesu Kristu uliye shinda kifo, siku Baba ataniita juu mbinguni kicheko chako ee kristu kinijie. EE MUNGU WANGU. R/EEe Mungu Mungu wangu moyo wangu usabiti nitaimba nitaimba zaburi (x2) Amka ewe kinanda, amka ewe kinubi, nitaamka alfajiiri nitamuimbiya Bwana (x2). 1. Ee Mungu nitakushukuru kati ya watu nitaimba zaburi kati. 2. Kwa maana fazili zako ni za

milele na uaminifu wote juu mawinguni.

wako